Recent content by Nyamulekwetu

  1. N

    Msaada: Sehemu wanapotoa kozi za computer

    Uko mkoa gan? Nenda ucc au DIT wako vizur sana
  2. N

    Rais Magufuli, kuwapunguzia mshahara walio juu ili uwaongezee wa chini ni sawa, lakini...

    Hiyo haiwezekan taratibu za utumishi wa umma hazisemi hivo hta muundo wa utumishi haupo hivo,haiwezekan mim nipo TGTS I(2800000/=) kwa mwezi unipunguzie mpka TGTS D(730000/=) kwa mwezi.
  3. N

    Idadi ya watumishi hewa kwa kila mkoa Tanzania

    Kanda ya ziwa wapo 7000
  4. N

    Mishahara ya watumishi wa Umma kwa mwezi Machi

    Tayari mpunga umejaa kwenye akaunti
  5. N

    Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

    Mwambie apande mashiku bus service au super najimunisa au Zuberi yote yana AC na burudani za kutosha hutokaa ujutie hta siku moja au kama vipi apande scandnavia bus express office zao zipo Rugambwa hostel kwa Mwanza na kwa Dar zipo Escape one ghorofa ya 7,kumbuka hatuna ma-agent
  6. N

    Tusaidiane njia nzuri ya kuhifadhi vyeti na nyaraka nyingine muhimu

    Weka kwenye email popote utakapokua unazipata
  7. N

    Msaada wa Hp laserjet 4250n printer

    Ninaomba msaada printer tajwa hapo juu,inakua inatoa meseji hii"59.40 ERROR" kuna wakat inaprint ila kuna wakati inatoa hiyo sms,tatizo ni lipi wakuu,msaada tafadhali ili niondoe hilo tatizo.Asanteni
  8. N

    Uhamisho kutoka Local Gvt kwenda Central Gvt

    Ni afisa takwimu nipo wizara ya elimu idara ya uthibiti ubora wa shule kanda ya ziwa(Mwanza),natamani sana nifanye kazi local G,haya mambo hata ukihitaji mkopo lazima uende dar(kwa katibu mkuu) nimeyachoka.
  9. N

    Kuedit attachments sehemu ya Academic Qualifications, UTUMISHI

    Mkuu kuna sehemu ya edit na kidelete,mfano nenda hapo kwenye vyeti vya vyuo itakuletea sehemu ya kudelete na kuedit
  10. N

    Msaada kwenye labtop yangu

    sijakuelewa mkuu,hebu ongeza nyama kidogo.
  11. N

    Wataalam wa IT, naomba msaada

    mkuu zinauzwaje hizo adapter
  12. N

    Msaada kwenye labtop yangu

    Ninaomba msaada kwenye labtop yangu aina dell,nikiplay musics haitoi saut ila mwanzo ilikua inatoa sauti vizuri tu,inatumia window 7.Shida ya pili ni kwamba ile coursor haitulii inakua inazungunguka yenyewe tu hata km siifanyii kazi,inazunguka tu kwa speed,nina omba msaada tafadhali
Back
Top Bottom