Hiyo haiwezekan taratibu za utumishi wa umma hazisemi hivo hta muundo wa utumishi haupo hivo,haiwezekan mim nipo TGTS I(2800000/=) kwa mwezi unipunguzie mpka TGTS D(730000/=) kwa mwezi.
Mwambie apande mashiku bus service au super najimunisa au Zuberi yote yana AC na burudani za kutosha hutokaa ujutie hta siku moja au kama vipi apande scandnavia bus express office zao zipo Rugambwa hostel kwa Mwanza na kwa Dar zipo Escape one ghorofa ya 7,kumbuka hatuna ma-agent
Ninaomba msaada printer tajwa hapo juu,inakua inatoa meseji hii"59.40 ERROR" kuna wakat inaprint ila kuna wakati inatoa hiyo sms,tatizo ni lipi wakuu,msaada tafadhali ili niondoe hilo tatizo.Asanteni
Ni afisa takwimu nipo wizara ya elimu idara ya uthibiti ubora wa shule kanda ya ziwa(Mwanza),natamani sana nifanye kazi local G,haya mambo hata ukihitaji mkopo lazima uende dar(kwa katibu mkuu) nimeyachoka.
Ninaomba msaada kwenye labtop yangu aina dell,nikiplay musics haitoi saut ila mwanzo ilikua inatoa sauti vizuri tu,inatumia window 7.Shida ya pili ni kwamba ile coursor haitulii inakua inazungunguka yenyewe tu hata km siifanyii kazi,inazunguka tu kwa speed,nina omba msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.