Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

Mfano basi kama shabiby linalotoka dodoma kwenda Dar ni luxury hadi lina choo ndani. Ndo maana nikauliza basi luxury kwa mtindo huo
 
Bongo hakuna bus luxury,ni usanii tu.
Kwa Dar - Dodoma kuna Shabiby ni luxury kisawasawa. Nauli yao ni 40,000. Seat zake ni 1 by 2, lina choo na ni full AC. Pia lina Wifi na sehemu ya kuchajia simu na kila mtu ana TV yake kama kwenye ndege za masafa marefu.
 
KUNA BASI LINAITWA LEO HILO NI ZAIDI YA DAR LUX.. LEO WANAHUDUMA NZURI KILA CITY INA CHAGING SYSTEM VITI NI VIKUBWA NA HUDUMA NI NYINGI KULIKO DAR LUX
 
atoke germany koooote huko ashindwe nauli ya fastjet,kwa taarifa yako hakuna basi lenye AC,labda afungue dirisha,huyo rafiki yako ni KE kwa jinsia?
mkuu usikariri.. LEO lina A.C sema haiwashwi mda wote sehem yenye joto A.C inawashwa sehem ya barid inazimwa..
 
Naomba kuuliza ni basi gani zuri ambalo ni luxury la kutoka Mwanza kwenda Dar na nauli yake ni shilingi ngapi, msaada please.
Bi. Dada mkatie ticket tu LEO LUXURY
Ni zuri kwa sababu lina;
AC.
Charging system kwa kila seat.
Customer care nzuri toka kwa wafanyakazi wa bus hilo.
Nauli yake ni 45000Tsh.
 
angekuwa KE ningeweka mafuta nikampeleka mpaka anakotaka,ME hapana, akapande muro na zuberi,injini inapiga kelele utafikiri iko kwenye mfuko wa shati



hahahhahhahahahha; wewe jamaaa ni kiboko
 
Mwambie apande mashiku bus service au super najimunisa au Zuberi yote yana AC na burudani za kutosha hutokaa ujutie hta siku moja au kama vipi apande scandnavia bus express office zao zipo Rugambwa hostel kwa Mwanza na kwa Dar zipo Escape one ghorofa ya 7,kumbuka hatuna ma-agent
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom