wa tarime tanzania
Member
- Apr 1, 2012
- 62
- 18
umenichekesha sana, engine inapiga kelele utazani iko kwenye mfuko wa shatiangekuwa KE ningeweka mafuta nikampeleka mpaka anakotaka,ME hapana, akapande muro na zuberi,injini inapiga kelele utafikiri iko kwenye mfuko wa shati