Recent content by ntebasimungo

  1. N

    Yule kijana aliyesema Mkuu wetu wa majeshi...

    We kama kijana na huna ndugu CCM kwa ulichopost Huna akili...kufa kishujaa kwa heshma don't die an ass kisser poor and shame on you....mfano mbaya kwa vijana Wa Tanzania
  2. N

    He is a Good men

    Mtafuteni Diamond...nafikiri kuna vidonge vya kidhungu Au...Ras Simba Wa magomeni
  3. N

    Ndoto za wadada Africa wa dot com, case study Adaeze Yobo

    Bora Mimi mseja mkaa pweke Wa hiari game ishanishinda
  4. N

    Fainali za Bongo Star Search (Season 8, 2015)

    Sawa lakini una fikiri tusker project fame matokeo yangekua hayo hayo?kifupi Kayumba sio m/muziki ni msanii kama msaga sumu Hao wengine ni wanamuzk na wasanii...utakuja kuona mbele
  5. N

    Zaidi ya wanachama wa CHADEMA 5000 wajiunga na CCM Bukoba

    Mnajitekenya halafu mnacheka...
  6. N

    Mahari na nafasi yake katika ndoa... Je, utamaduni huu umepitwa na wakati?

    Kwa hiyo wanaume huwa wanaanguka juu ya mti hawalelewi na wazazi wao
  7. N

    Fainali za Bongo Star Search (Season 8, 2015)

    Fonabo...Angel...Friday...? Aibu ni kuwa master J mtaalamu Wa mziki alikuwepo Dosari ndogondogo tuzirekebishe...hongera Kayumba
  8. N

    Bongo star search 2015

    Huyu Kayumba atakuwa kama Jumanne Idd
  9. N

    Bongo star search 2015

    Huyu Kayumba atakuwa kama Jumanne Idd
  10. N

    Bongo star search 2015

    Hutu mtoto mchawi...taarabu....
  11. N

    Bongo star search 2015

    Afu jamaa anakata kiuno tuu...hela nzuri ...anafanya kazi anayo enjoy
  12. N

    Bongo star search 2015

    Masikini Bella kabeba pesa zote za kutuza
  13. N

    Bongo star search 2015

    Jamani Frida Huyu Kayumba anasafiria nyota za watu
  14. N

    Bongo star search 2015

    Kwa makomeo alicheza SAA nzima ni kama ana mguu mwingne invisible
Back
Top Bottom