Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Huu ni mwaka wa Mensen Selecter as a producer,kapiga beats za ukweli sana kama huu wimbo wa Ya Moto Cheza kwa madoido.....

Na ndio kazi anaweza, sio kuimba sauti hana! beats za nyimbo zake ndo zinambeba lakini sio mwimbaji yule
 
Heeeeeee huyu kilema jamani!
Hii mara ya pili namuona!
 
Mguu mmoja nao ni KIPAJI. Yaani anawazidi kucheza wenye miguu miwili
 
Watanzania tunajuana jamani, Mshindi kwa sasa ni Kayumba kwa sababu zilizo nje ya uwezo 'wao'
 
Saaaaana! yule.Linex kiazi af kutoka hapo aliponda ooh ana uwezo mdogo kashindwa kubeba wimbo! mbafu... wakati yeye na Salma binti alikua mkali.zaidi yake ila ndo underground tu

dah Kausha tu Mkuu.
 
Izi zisi yu yuu?? Nimekumiss mpenzi.
Yaani nimejikuta namsahau kayumba ghafla, this dude is goood, alafu ana advantage ya gitaa pia(mwanamuziki)

Yaah ni kweli mkuu huyu jamaa ni mwanamuziki kabisa bss inabidi waangalie pia hilo maana washindi wengi wa bss wamekuwa wakishinda wanapotea kwenye soko la mziki

Nashangaaa utafkiri hamna watu wengine

Saaaaana! yule.Linex kiazi af kutoka hapo aliponda ooh ana uwezo mdogo kashindwa kubeba wimbo! mbafu... wakati yeye na Salma binti alikua mkali.zaidi yake ila ndo underground tu

hakuna kitu

baada ya leo labda ajiunge kwenye bend

Huyu Chiba!!

Kweli. Nimewachoka.. wanaimba kama wanapiga story za mjomba mpoto

Aisee huu mtepesho sio, ukiguswa tu huoooooooo, Shame at its best. Sipendi kabisa wanakoelekea hawa madogo, walianza vizuri sanaaa,,

Heeeeeee huyu kilema jamani!
Hii mara ya pili namuona!

Kwa makomeo alicheza SAA nzima ni kama ana mguu mwingne invisible
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom