Ndoto za wadada Africa wa dot com, case study Adaeze Yobo

Ndoto za wadada Africa wa dot com, case study Adaeze Yobo

Jamani wanaume acheni kutusimanga na kutuona sijui tunadream maisha makubwaa, who doesnt? Mie nilifikiri ulipogundua hilo ungekuja na somo hapa ni kitu gani wanaume wafanye ili wapae nao kiuchumi, ila naona malalamiko tuuuu na kama kuna kawivu fulani hivi.

Tena ilitakiwa mshukuru as tunawapa chalange na hasira za kuzisaka zaidi, dream big guys, hakuna mwanamke asiyependa mwanaume mwenye pesa(hata ujidanganye vipi), tunakubaliana na hali halisi tu pale inapobidi.

Ni wajibu wa mwanaume kumhudumia mwanamke wake wether you like it or not, na kila mtu anapenda maisha mazuri na hizo vocations sijui za sydney and werever, huo ndio ukweli, hapo hapo mnataka mvuliwe hadi sox wakati mna kazi ya kulalamika tuuu, hebu hii msiione kama tatizo, muichukulie kama changamoto to push you up.
 
Huyu mwanamke wa hivi ukifulia atabaki kweli , utasikia yuko kwa wenzako wanamuhudumia .
 
Tutakomaa kisela kuwamegea hao mabosi,ukisubiri kuwa tajiri kwa bongo hii ya dola1 sawa na Tshs 2170.85 ndo ukamate vitu classic utauweka sana ndugu yangu...Tutasaidiana bhana hata kwa nguvu ya kampeni tu,itafahamika tu.Nikiwa babu ntakuwa pazuri ila for the mean time tutaparangana tu.
 
Ni kweli hakuna asiye penda maisha mazuri mimi binafsi sipendi maisha ya vurugu mnoo ila huwa inanibidi kwa ajili ya kuwaridhisha familia yangu....Hasa mamsapu vacation zile za kupiga pensi na sunglass kuubwa mara moja moja ilimradi tu aridhike yeye na watoto wake...Ila ukinikuta utadhani na mimi naenjoy kumbe natoa support tu
 
Tutakomaa kisela kuwamegea hao mabosi,ukisubiri kuwa tajiri kwa bongo hii ya dola1 sawa na Tshs 2170.85 ndo ukamate vitu classic utauweka sana ndugu yangu...Tutasaidiana bhana hata kwa nguvu ya kampeni tu,itafahamika tu.Nikiwa babu ntakuwa pazuri ila for the mean time tutaparangana tu.

Daaah!! If this is the case basi msiumie kwa vocations wanazofanyiwa hao mlowaongelea kwenye mada. Yo life yo choice.
 
Ni kweli hakuna asiye penda maisha mazuri mimi binafsi sipendi maisha ya vurugu mnoo ila huwa inanibidi kwa ajili ya kuwaridhisha familia yangu....Hasa mamsapu vacation zile za kupiga pensi na sunglass kuubwa mara moja moja ilimradi tu aridhike yeye na watoto wake...Ila ukinikuta utadhani na mimi naenjoy kumbe natoa support tu

Hahahaaaaa nimeipenda, tunaishi Kwa mapambano, hata uzeeni tukipata siyo haba, hata wanetuu waje kufaidi
 
Daaah!! If this is the case basi msiumie kwa vocations wanazofanyiwa hao mlowaongelea kwenye mada. Yo life yo choice.

Inatuuma na itaendelea kutuuma mkuu, shida wazee wanatumia nguvu kubwa ya pesa, we angalia mzee mengi na umri wote anammiliki kyln.
 
Inatuuma na itaendelea kutuuma mkuu, shida wazee wanatumia nguvu kubwa ya pesa, we angalia mzee mengi na umri wote anammiliki kyln.

Kinachokuuma nini sasa? Kwani Mzee Mengi pesa aliziokota? We si ushajikatia tamaa unasubiri uzeeke? Then hata usione wivu.
 
Mtoa mada acha kuwaonea wivu wanawake,sisi wanaume ndio kazi yetu hiyo,tumeumbwa hivo na wao wameumbwa hivyo.au kama vipi na wewe kua mwanamke tuone kama hautataka kufanya kama wanavofanya hao unaowasimanga.
 
Jamani wanaume acheni kutusimanga na kutuona sijui tunadream maisha makubwaa, who doesnt? Mie nilifikiri ulipogundua hilo ungekuja na somo hapa ni kitu gani wanaume wafanye ili wapae nao kiuchumi, ila naona malalamiko tuuuu na kama kuna kawivu fulani hivi.

Tena ilitakiwa mshukuru as tunawapa chalange na hasira za kuzisaka zaidi, dream big guys, hakuna mwanamke asiyependa mwanaume mwenye pesa(hata ujidanganye vipi), tunakubaliana na hali halisi tu pale inapobidi.

Ni wajibu wa mwanaume kumhudumia mwanamke wake wether you like it or not, na kila mtu anapenda maisha mazuri na hizo vocations sijui za sydney and werever, huo ndio ukweli, hapo hapo mnataka mvuliwe hadi sox wakati mna kazi ya kulalamika tuuu, hebu hii msiione kama tatizo, muichukulie kama changamoto to push you up.

Wewe hata kushika mike na kuiimbia hujui, unataka eti mwenye pesa. Wenye pesa wanataka full majamboz toka kwa demu/wife wake.
 
Wewe hata kushika mike na kuiimbia hujui, unataka eti mwenye pesa. Wenye pesa wanataka full majamboz toka kwa demu/wife wake.

Hahahaaaaa!! Kama akili zenyewe ndizo hizi basi endeleeni tu kuwaonea wivu hao wanawake wanapelekwa vocations na wanaume wenzenu.
 
Back
Top Bottom