Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

TRA mko wapi?!duh!Chris Bella anazikusanya tu,inabidi kuwe na mtu TRA ili akate kodi ya serikali palepale!
 
Ashapata pesa ya kula mpaka tar 25 asubuhi kabla hatujampeleka lowassa magogon
 
Yani kipindi kama hiki ndo kinachonifanyaga nisipende ushabiki wa Vitu. Hali yangu tete as if na me nashiriki kwenye Mashindano khaaa
 
Saa za majeruhi pressure inapanda na kushuka kwa wenye roho nyepesi all the best kwao wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom