Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Nani huyo??
Fonabo.
Nani huyo??
Na muziki wetu ndivyo ulivyo, wenye vipaji vyao hata hawatusui ila wajanja wajanja tu ndio wanapaa, mie nimejikuta naumia maana naona kama hashindi!! Aaaaaagggggrrrrrr!
hakuna kitu
baada ya leo labda ajiunge kwenye bend
Mhhh..huyu mlemavu wampe hizo milioni 50
Hamna anaweza kufanikiwa kama Mad Ice.. though hajahit kama kina domo lakini kwa wanaojua vitu vizuri hawahitaji kuambiwa ubora wake na akitoa wimbo anafanya vizuri kwenye mediaSasa wabongo ndo tunapenda hizo style za kayumba. Level za naseeb ni za mbele