Recent content by mombaboy

  1. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Au hawa wachezaji wa man u wapo katika mgomo mbona sielewi elewi ?????????
  2. M

    Kubenea muombe radhi Makonda

    Kura za Masaburi??? 2020 mpige tu mkichemsha tena zitaharibika
  3. M

    Yule mke wa kachero wa TANAPA...

    Kwani imethibitishwa kwamba anahusika na mauaji ya mumewe???
  4. M

    Human microchips analysis

    Kuna umuhim wa kufa mapema kabla ya hii kitu haijafika huku
  5. M

    Ile hoteli ya Morogoro ishavunjwa?

    Kwani ipo jangwani??? Anyway ipo na watu bado wanaendelea kula bata pale
  6. M

    Gwajima amkana Lowassa: Apinga kuwahi kuunga mkono Mwanasiasa yeyote

    Huenda kipindi kile alikuwa na pepo
  7. M

    Mimea hatari ya kichawi

    Ndio maana wazungu wanaendelea kumbe hizi vitu zinahusika sana
  8. M

    Mtu aliye jirani na Meku's Moshi, tujuane hapa

    Nipo pm huku njoo tufanye yetu
  9. M

    Wachagga leo watakufa

    Sipati picha wakazi wa Rombo wapo katika hali gani hadi muda huu
  10. M

    Nachezea kitovu niwapo usingizini, nitaachaje?

    Nunua pingu ikifika usiku unajiweka chini ya ulinzi nakujifunga pingu mikono nyuma then unalala
Back
Top Bottom