Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

80 min: Stoke are pushing for a third, Affelay slipping Johnson through on the right, the ball played back to Bojan, whose cross-shot towards Diouf is pushed away by De Gea.
 
I once said this is the beginning of the end...but kuna watu humu walinizodoa sana sana!

This is the law of nature...yaani ukishafanikiwa sana kuna muda utakaa ukiwa stagnant and then you can start to retard and therefore creating a negative gradient. Kimbembe huwa kipo kutoka kwenye kuibadilisha hiyo negative gradient iwe positive gradient tena...it takes time and energy!

Usajili bomu ndiyo tatizo lao
 
85 min: Diouf loses the ball near the halfway line and United immediately break. The ball comes to Martial, who turns and runs towards the Stoke area, space opening up for him. Martial opens up his body and tries to guide the ball into the bottom-left corner, but Butland reads the shot and tips it wide.
 
86 min: Stoke clear the resulting corner and break. Adam marauds through the middle and touches the ball to Bojan on the left. He hits the shot early but he gets no power behind it and De Gea saves easily.
 
Watani Kwa kweli Manchester United inasikitisha kuiona ikiwa katika hali hii.

Siamini Man Utd aloiacha mzee Ferguson ikiwa imevunjwa vipande vipande na LVG.

Akaja na plan ya kutaka new tem na new evolution lakini kaharibu kila kitu na itachukua misimu miwili au mitatu kuja kuimarika tena.

Man Utd si wa kuwaacha nje Antonio Valencia, Wayne Rooney, Michael Carrick na kuwafukuza akina Jonny Evans, Tom Clevely na wengine.

LGV huenda akafukuzwa lakini si kabla ya Jumatatu na ikiwa ni kabla ya Jumatatu basi itakuwa baada ya mechi ya leo.

Makamu mwenyekiti Ed Woodward ni lazima achukue hatua za haraka Man Utd ni timu kubwa Uingereza.
 
90 min+2: There are chants for Jose Mourinho, though I?m not sure if they?re coming from the away end.
 
The camera falls a stony faced Louis van Gaal as he wanders down the touchline. He waves to the Manchester United fans before disappearing down the tunnel. Goodbye?
 
Usajili bomu ndiyo tatizo lao

Mkuu usajili kuwa bomu siyo sababu pekee...nyingine ni team spirit! Unakumbuka enzi za Ferguson sometimes team ilikuwa inakuwa mbaya mno but wanabeba kombe.

Hii team kwa Ferguson hata Champions league angebeba! Kosa lingine litakalofanyika itakuwa wakishamfukuza LvG...akija mwingine team inabidi ianze tena mwanzo, kwa hiyo mpaka akija kugain speed anayoitaka ni 2nd season tayari.
 
A.I.B.U......vichapo mfululizo
Lisa Van Girl afukuzwe tu maana hakuna namna
 
Mkuu usajili kuwa bomu siyo sababu pekee...nyingine ni team spirit! Unakumbuka enzi za Ferguson sometimes team ilikuwa inakuwa mbaya mno but wanabeba kombe.

Hii team kwa Ferguson hata Champions league angebeba! Kosa lingine litakalofanyika itakuwa wakishamfukuza LvG...akija mwingine team inabidi ianze tena mwanzo, kwa hiyo mpaka akija kugain speed anayoitaka ni 2nd season tayari.

Moyes mlisema hayo hayo na akija mwingine mtasema hayo hayo. Bila usajili makini na kuzubaishwa na majina makubwa huku Kiwango ni kimeo hata apewe Mourhnio au Pep Gardiola bado kufungwa Kipo palepale
 
Moyes mlisema hayo hayo na akija mwingine mtasema hayo hayo. Bila usajili makini na kuzubaishwa na majina makubwa huku Kiwango ni kimeo hata apewe Mourhnio au Pep Gardiola bado kufungwa Kipo palepale

Mkuu kumbe argument zangu hujazielewa kabisa!

Kimsingi ninakazia points zako...and to make the records straight, am a KOP under Klopp!

As I said earlier this is the beginning of the end for Man United!
 
Game ya leo niliomba toka mwanzo tupigwe tu ipatikane njia ya kumondoa bwana mapanki
 
Back
Top Bottom