Kubenea muombe radhi Makonda

Kubenea muombe radhi Makonda

Makonda yupo ktk rejected list ya wakuu wa wilaya na mikoa watakaotumbuliwa hivi karibuni, wale waliopewa vyeo bila kua na wasifu unaostahili watangolewa wote, Kubenea hana haja ya kuomba radhi
 
Mbona makonda hajamuomba radhi mzee warioba.
 
Basi ana-konda alikuwa anabrush viatu, hapa sasa sijui alikuwa anabembeleza ukuu wa nini

Acheni uchochezi. Huyo naye si Makonda bali mtumishi wa pale kwa Ngoi. Alimbeba Ritzi baada ya kujaribisha kama hizo sare alizonunua pale dukani kwa ngoi zimemkaa.
Hapa alimbeba wakati ana mpeleka kwenye kioo ili akajitazame.
 
Acheni uchochezi. Huyo naye si Makonda bali mtumishi wa pale kwa Ngoi. Alimbeba Ritzi baada ya kujaribisha kama hizo sare alizonunua pale dukani kwa ngoi zimemkaa.
Hapa alimbeba wakati ana mpeleka kwenye kioo ili akajitazame.

Hahahahaha!!!
Kweli watu wamezidi uchochezi.

Ngowi ana huduma nzuri sana mpaka kawa mkuu wa wailaya kwa kushona nguo TU.
 
kiukweli kuna viongozi wengine tumewachagua lakini sasahivi tunajuta...ubungo tulichemsha na kila mtu analijua hilo...

Wewe ndo unalijua hilo, usitulishe maneno, ulifanya juhudi gani kumweka huyo umtakae?
 
Kubenea kwa sasa ni kama mke aliekosa bwana anatangatanga mumewe Dr.........alishamtelekeza.....
Uandishi wake ni wa kitaarabu....
 
kiukweli kuna viongozi wengine tumewachagua lakini sasahivi tunajuta...ubungo tulichemsha na kila mtu analijua hilo...

Kama ni uongo Riz1 si aende mahakamani na siyo kutoa matamko na kukanusha.
Jisemee nafsi yako. Nani aliyekupa uwakilishi wa wananchi wa Ubungo.
Wananchi wa Ubungo walimchagua wakiwa na akili timamu
Kama we we ulichagua ukiwa umechanganyikiwa, Shauri yako.
 
Huyo rzy, basi aseme mwenyewe aliyekuwa akimfunga kamba viatu ni nani...!!
 
aliyekuwa anamfunga viatu si kamtaja tena kwa jina? au wewe Freyzem hujui kusoma...
 
Last edited by a moderator:
kiukweli kuna viongozi wengine tumewachagua lakini sasahivi tunajuta...ubungo tulichemsha na kila mtu analijua hilo...

Kura za Masaburi??? 2020 mpige tu mkichemsha tena zitaharibika
 
Baada ya kushindwa vibaya uchaguzi hasira zinehamia kwa viongozi wa serikali sasa sijui itasaidia nini
 
Watu wengine wamekula maharage yaliyooza sasa ni uongo hakumfunga kitu?
 
Kubadili channel ya tv haikusaidii. makonda ni kiongozi wko halali usisubiri akuweke ndani ndiyo umtambue.
mimi mkazi wa arusha, makonda kiongozi wa ninyi wa kinondoni, ananihusu nini, hata nikikutana naye huku arusha naona sawa tu na nimekutana na mtu wa chini kabisa wa hapa arusha.
 
hivi mkuu wa wilaya naye ni mtu mkubwa sana ehee kwamba unaweza hata kusema mbele za watu kwamba wewe ni mkuu wa wilaya?hahaha

Mkuu wa wilaya ndo rais wa wilaya. Wapi hujaelewa au unaongozwa na hisia zaidi kama mwanamke ktk mapenzi. Mbunge ni mwakilishi wa wananchi tu tena bungeni. Na ndo maana hawezi kushtakiwa kwa lolote atakalosema akiwa bungeni. Nje na hapo ni raia kama raia wengine.

Kumbuka tu kuwa kuna tofaut kubwa kati ya mawazo yako hayo na sheria inavosema. So jitahidi kutofautisha kati ya mwakilishi wa wananchi bungeni na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya. Vyombo vyote vya usalama wilaya vipo chini yake na ndo maana anaweza kutoa amri ya kukuweka ndani na ukawekwa. Mbunge hana mamlaka hayo.

Jaribu kutumia akili kuelewa mambo usifuate mkumbo.
 
Back
Top Bottom