Mimea hatari ya kichawi

Mimea hatari ya kichawi

Mkuu Mshana mbona mimi naona mmea unaonekana kama bibi kizee aliyeshika tumbo, jicho moja limefunguka na lingine limefumba au mimi nina matatizo kwenye analytical mind yangu - ingawa mimi ni member wa MENSA na scores yangu za IQ ilikakuwa 127 - baada ya test Wazungu walisema kutokana na jinsi nilivyo kuwa najibu maswali inaonyesha analytical mind yangu hiko juu sana - sijui walikuwa na maana gani, lakini nikimwangalia mtu jinsi anavyo ji-conduct, anavyo zungumza, anayo andika/jibu na body language yake basi ni mara chake kukosea kumsoma hulka zake na anacho dhamilia - sitanii ndio nilivyo - sasa bwana Mshana Jr, je,nilicho sema kuhusu mmea huo nimepatia au? CHEERS.

1451103466874.jpg 1451103482892.jpg
 
MziziMkavu Kaka nina ombi moja kwako huko uliko fanya uwezavyo tuupate huu mmea utatusaidia sana sana 1451103939819.jpg mandrake-tree-of-knowledge.html
 
Last edited by a moderator:
Very interesting,
Nataka niujue zaidi na kuufanyia kazi,
Ni mmea muhimu sana sasa sijui kama bongo upo ama vipi.

Aisee hapana haupo unapatikana central America na ukanda wa Mediterranean... Ila una masharti kibao ngoja nitaweka screen shot nyingine hapa
 
Hehehe wajinga wataliwa hadi kesho.

Hii sio mimea halisi maana ni objects tu zilichongwa zionekane kama mimea zimetumika kwenye movie za harry potter, leo hii mtu anakuja kudanganya wengine kua ni mimea ipo na mbwigaz wamekaa wanaamini, hehehe! Ogopa internet, vilaza wengi sana.
 
Back
Top Bottom