Wachagga leo watakufa

Wachagga leo watakufa

Mpaka Muda huu tunapoongea hapa Miss Chaga atakua hajiwezi kwa kuzidiwa na kilevi
 
Miss chagga upo wapi?Nipo majengo kwa mtei huku unakunywa kibo gold ama?"yesu wangu"
 
Mshana kuna mbwa wa pale Same kwa ukosefu wa maji wakiwa wameshikwa na kiu wakaona lami inavyomeremeta wakajua ni maji. Breki ya kwanza Kabuku kilichowaokoa walikuta mvua inanyesha ikawa salama yao.
 
Mshana kuna mbwa wa pale Same kwa ukosefu wa maji wakiwa wameshikwa na kiu wakaona lami inavyomeremeta wakajua ni maji. Breki ya kwanza Kabuku kilichowaokoa walikuta mvua inanyesha ikawa salama yao.

Hahahahahaaa Hahahahahaaa Hahahahahaaa Ngarna huu ni uongo mtakatifu
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kitu hapo kwny picha yote me namaliza peke yangu kwa 1 day sasa wachaga wapo wangap? mpaka wafe kwa lita 20 mbege?
 
Mie hiyo kitu ya kati tuu, nyingine hio hapana aisee
Bahati nzuri kila sehemu inapatikana
 
Mkuu Unavyofikiria Sivyo, Wachaga Wengi Sasa Ivi Wamezaliwa Upya Kwa Kumpa Yesu Maisha Yao. Wameokoka.

ukiona hivyo ujue tayari yashawakuta.washakuwa makapi screpal ndio wanakimbilia kwa yesu.

mtumikie mungu kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote ukiwa bado unanguvu zako na afya yako kamili
 
Back
Top Bottom