Recent content by Mjita Pure

  1. Mjita Pure

    msaada wa kisheria tafadhali

    Suala la mgawanyo wa Mali kama lilifanywa na Marehemu enzi za uhai wake hata mkibaki mnagombana inabidi alichokifanya enzi za uhai wake kiheshimiwe kiimani na kimila.
  2. Mjita Pure

    Maoni mbalimbali ya wanasiasa juu ya Lawrence Masha kujivua uanachama wa CHADEMA

    Godbless Lema ni kichwa kingine. Et "WAVULANA WENGI WAMEENDELEA KUSHINDWA na VILEVILE WANAUME NA WANAWAKE IMARA WANAENDELE..." Kwahyo jamaa aliyetoka ni Mvulana na SIYO mwanaume. Akili kubwa ya Lema imetumika kutukana
  3. Mjita Pure

    Naomba ushauri wa haraka; Public relations and marketing - SAUT vs Public administration - UDOM

    Soma kozi ambayo unaona inakupendeza na ambayo hata ajira ikisumbua, HUTOJUTA kwakuwa ulichagua mwenyewe. Nakushauri
  4. Mjita Pure

    Naomba ushauri wa haraka; Public relations and marketing - SAUT vs Public administration - UDOM

    Mkubwa na wanao, umetisha mno. Haa haaa haaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  5. Mjita Pure

    Dkt. Hussein Mwinyi ndie kiongozi mstaarabu kuliko yeyote Tanzania

    Kiukweli Hussein Mwinyi anajielewa na hana purukushani ni mtu wa kimyakimya hafanyi kazi kwa kujionesha ktk vyombo vya habari
  6. Mjita Pure

    Hivi mwanaume unaanzaje kuandika "jomoni"..!??

    Ushenzi tu kama midume inayoandika et MY na maneno mengneyo yaliyokaa kike.
  7. Mjita Pure

    Shafii Dauda ni mchambuzi uchwara, hafai hata kuchambua rede

    Wale walimtoa na jamaa aliyeko Azam akitokea Clouds kwakuwa walimjua anajua sana kuchambua Mpira kwakuwa walijua anawazimisha na wanataka wao tu wajulikane.
  8. Mjita Pure

    Musoma: Miongoni mwa miji mibovu Tanzania

    Utakuwa ulifika Musoma kitambo. Kwasasa barabara zinafanyiwa marekebisho makubwa sana ila kwa upande wa stand, bado ni changamoto. Kuhusu mademu, inaonekana ulienda kutafuta mademu na wadada wa Musoma siyo wa kulandalanda barabarani kama wanaojiuza kwenye miji na majiji kama Sinza Ambiasi - Dar...
  9. Mjita Pure

    Mfungwa wa Maisha Papii Kocha atuma ujumbe kwa Rais Magufuli

    Kiukweli ila kama ni hujuma kwa maneno ya huyu jamaa, akifia gerezan, damu yake ikawe juu ya wale waliomfanyia ubaya na ukatiri huu wa kumsingizia kwake NA kizazi chake chote.
  10. Mjita Pure

    Kwa ilivyo hali ya kisiasa Tanzania , je ofisi ya Mkemia Mkuu wa serikali inaweza kuaminika?

    Msiwe na wasiwasi waungwana na tuziamini mahakama zetu tu na zinatenda haki. Otherwise, ushahidi wa Daktari kuhusu vipimo uwa ni kama OPINION tu na Judge au Hakimu hafungwi na vipimo vya Daktari. Kinachomtia mtu hatiani ni DIRECT EVIDENCE ila wa Kitabibu is Just a mere opinion.
  11. Mjita Pure

    Queen Darleen buana..

    Mbona kama jibibi flani hivi ukimuangalia kwa huku nyuma. Alafu hapo et yupo na kaka'ke au mdogo MTU. Fedheha hizi.
  12. Mjita Pure

    Kiatu cha mfungaji bora ligi kuu Tanzania, ni kweli ni cha dhahabu?

    Bongo wangekuwa wanatoa kiatu cha dhahabu kweli tungekuwa tushasikia kuwa mchezaji alokichukua kavamiwa au ilikuwa attempted kuvamiwa. Bongo kama ni kiatu cha dhahabu, itakuwa dhahabu mdosho na ubabaishaji ni sehemu ya maisha yetu ya soka.
Back
Top Bottom