Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,958
- 3,824
Ningekuwa mimi ndio mod ningewapa ban wote.
Hicho kiungulia cha ukeni kwako kinakudanganya, Usiniandikie Upuuzi kwenye Maoni yangu.Jomoniiiiii
Mkuu nimekuquote wewe au mbitiHicho kiungulia cha ukeni kwako kinakudanganya, Usiniandikie Upuuzi kwenye Maoni yangu.
Wengi wenu wenye akili za kushadadia mambo ya hivi huwa ni vilaza kuanzia Akilini hadi Kwenye Puru.
Na wale wanaoandka LOL dadek.
Hiyo LOL yenyewe huwa siitumii ni bora nitumie hii emoji tu [emoji23]Walianza na sasa-xaxa, wakaja la LOL sasa wamekuja na JOMONIII
Kweli eee..inabidi mtumie Jamani badala ya jomoniHata kwa mwanamke halifai.
Basi tu fata mkumbo
Mnhh...Inategemeana na unae chat nae, mi binfsi sijawai kuwachukia wanaotumia hasa girls ko na mimi nimejikuta nalitumia hasa nikichati na jinsia ya ke, ujue usinyime watu raha wanayoipenda kuna kipindi my girl alikuwaanapenda Sana kutumia emoji kuchat af mi sipend so kuepusha migogoro ya kila siku nikamwomba anifundish mana yake ili twende sawa aise baada ya hapo ikawa Fresh
Ifike mahala wanaume mjitathmini.. Hasa wenye tabia ya kukopi kila neno la kijinga linalozuka kwenye mitandao.
Kuna hili neno "Jomoni"...
Nililiona mara ya kwanza huko insta ..nikajua ni ujinga wa huko tu . Wala sikutaka kujua lilipotoka..mara ya kwanza nilijua ni typing error. Ghafla likafika hapa JF baadhi ya wadada wakaanza kulitumia.
Inasikitisha sana kwakweli na ME wameanza kulitumia neno hili... Hii ni dalili ya upunga kabisa..
ACHENI HARAKA...
Ahsanteni.