Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,530
- 6,118
Amevaa mini hicho,no nepi au ndo nowadays swags
Toa umbea nyoko wewe,,,, mishabiki ya alikiba bhana![]()
Katika ubora wake![]()
by the way ilikuwa beach partyQueen Darleen kazidi kukaa uchi jamani!
Nguo zake zote ni mapaja njenje,hata katika press za maana anaenda hivyo hivyo.
Queen ni mkubwa sana,kaanza kuimba muziki wakati sisi wadogo zake tuko primary huko...ni vyema akabadilika.
Ni maoni tu maana mwisho wa siku maisha ni kuchagua,naye ndio maisha aliyojichagulia.
Period
Akikupa jibu sahihi nishtue,maana tokea yaanze kufuata mkumbo wa kumshabikia kiba,basi kila kitu wanadandia hata wasivovijua ili mradi na yenyewe yamekomenti.Queen darlin na kiba nani mkongwe kwenye game
Labda masikio yanguhivi unasema "unaniadaa" au "unaniandaa"?
Me nilikua naimba tuuuu. SiimanishiiiUnataka The bold aseme nini?
we endelea kumuimbia huyo shemeji
Umetishaaa.Wajua ukinishika tetemesha roho unairusha pagawisha![]()
![]()
Umetishaaa.
Mwaka huo ulikua vidudu eti?
Me ndo nilikua naoa mke wa 3.



Mh!Zari hajamwazima
Huyo alievaa bikini ya rangi nyekundu ni Me au Ke? Nauliza tu jamani![]()
Katika ubora wake![]()