GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,335
- 1,778
they can`t be that serious aisee!
Tatizo uongozi pia ni tatizo,Dhahabu ya kiatu cha ulaya ni grade one yetu uku sijui km kweli ni dhahabu!
Hahahaaa sidhani hata kama ni almasi yoteicho n cha Almasi
Ni kweli aiseeBongo wangekuwa wanatoa kiatu cha dhahabu kweli tungekuwa tushasikia kuwa mchezaji alokichukua kavamiwa au ilikuwa attempted kuvamiwa. Bongo kama ni kiatu cha dhahabu, itakuwa dhahabu mdosho na ubabaishaji ni sehemu ya maisha yetu ya soka.
Mashaka matupu. Kiatu sio cha dhahabu labda ni madini mengine. Hii ni moja kati ya aibu ya zawadi zinazotolewa na wadhamini. Kama walikuwa hawana uwezo wakutoa Golden Boot ni vyema wangetafuta jina lenye asili ya kitanzania.
Ni kweli nilikua nisikiliza uchambuzi wa inshu ya haki za matangazo ambayo tender amepewa azam tv nikajua kweli tff ni jipu!na huyu rais soka la bongo hatalifikisha hata sebleniHahahaaa sidhani hata kama ni almasi yote
Mbona kama ngozi ya fisi?
Halafu akipewa mdhahabu wote huo akaishi wap?
Anataka avamiwe tu kijana wa watu. hicho kinamtoshaHalafu akipewa mdhahabu wote huo akaishi wap?