pnkuru
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 283
- 182
...JF tamu kuliko maana ni "unrestricted platform" when it comes to "valid & positive thinking" ya mTZ yeyote.hahaha nimecheka tu yaan !still bado tunaitaka sana jf aisee
...JF tamu kuliko maana ni "unrestricted platform" when it comes to "valid & positive thinking" ya mTZ yeyote.hahaha nimecheka tu yaan !still bado tunaitaka sana jf aisee
Kilichokuuma ni hiyo picha..na hivi vitu vinatokeaga kwny mpira..relax bro!! Punguza munkari
...JF tamu kuliko maana ni "unrestricted platform" when it comes to "valid & positive thinking" ya mTZ yeyote.
Okwi ni striker anayefunga kwenye viwanja vya dar peke yake...Sawa mkuu
Mkuu huyu George sidhani kama mbongo jamaa. Maana anavochambua unafurahia kabisa yaan.Mwalimu kashasha na george ambangile wa magic fm.
Hivi ndio vichwa vyangu.
UKIMSIKIA ANAONGEA KIINGEREZA NDIO UTACHEKA.SIJUI ULAYA HUWA ANAENDAJE.KIINGEREZA KICHAFU SANAView attachment 612099
Toka nianze kupenda soka sijawahi kuona mchambuzi uchwara kama Dauda. Wabongo wengi wamepewa fursa za kuzungumza na kusikilizwa lakini kichwani hakuna kitu....giza nene
Wanaomfahamu zaidi watupe wasifu wake ili kuwasaidia watu wasipotezewe mda naye.
SMG= sumbawangaNilimsikia mtangazaji mmoja wa RFA akisema SMG ni Short Machine Gun mtu anaongea kabisa kwa kujiamini bora hata kuuliza kama hujui kuliko kutoa tafsiri yako ili tu iendane na neno husika
Kumbe na wewe humjui vizuri umejuaje kama ni mchambuzi uchwara??View attachment 612099
Toka nianze kupenda soka sijawahi kuona mchambuzi uchwara kama Dauda. Wabongo wengi wamepewa fursa za kuzungumza na kusikilizwa lakini kichwani hakuna kitu....giza nene
Wanaomfahamu zaidi watupe wasifu wake ili kuwasaidia watu wasipotezewe mda naye.
SMG= sumbawanga
Lets cut story short...hebu pen down the meaning of 'ananiboaga'....still bado...is "bado x 2" sidhani kama "ananiboaga" kuna neno limejirudia hapo though root word ni kiingereza...ni kama nikuambie "umefeli" kumtetea huyo bwana wa "still bado"
yeah mkuuOkwi ni striker anayefunga kwenye viwanja vya dar peke yake...
...kwani nikikuchunia utanishtaki???Lets cut story short...hebu pen down the meaning of 'ananiboaga'
JPM amesoma UDSM na ana Phd lugha ya malkia inamsumbua sembuse Shafih mwenye Advanced Diploma ya Ifm?kweli Mara chache nilizomfatilia ni zero kabisaa na English pia ni shida sana cjui alisomaje IFM anaongea English ya hovyooo