public relation ni nzuri zaidi katika soka la ajira ila hakikisha unakua dip kweli kweli kama akina Malisa Godilisen uweze kuandika makala za uhakika namna hiyo. public administration unaweza kuwa hata HRPublic relations and marketing - St Augustine
Public administration - Udom
Ushauri wenu wakuu ni wapi pana uwanja mpana.
Mkubwa na wanao, umetisha mno. Haa haaa haaaaaHiyo ya UDOM ni multipurpose, popote unaajiriwa mkuu, ni course ambayo hutaijutia kwenye soko la ajira,utajishangaa kila nafasi ya kazi inayotangazwa unafit , nenda UDOM
Soma kozi ambayo unaona inakupendeza na ambayo hata ajira ikisumbua, HUTOJUTA kwakuwa ulichagua mwenyewe. NakushauriPublic relations and marketing - St Augustine
Public administration - Udom
Ushauri wenu wakuu ni wapi pana uwanja mpana.
Nenda UDOM ase ni course ambayo hautakaa sana mtaani ukimaliza hasa kwa hiyo marketing, marketers ni wachache mno mfano finalists mwakani hawaziti 25 kwa hapo. Kasome hiyo boss
Mbona unaguna?Mmmmh!
hiyo ya PR n nzur ila unatakiwa kuwa unajituma sana kujua vitu vingi na kuandika makala za nguvu ila ya PA inafit sehemu nying sana after graduationPR-Marketing ni course nzuri sana kuliko hiyo nyingine
Mbona unaguna?
hapa unamshauri aende wapi sasa. naona mwenyewe umechangnyikiwa. Ameandika hivi:Nenda UDOM ase ni course ambayo hautakaa sana mtaani ukimaliza hasa kwa hiyo marketing, marketers ni wachache mno mfano finalists mwakani hawaziti 25 kwa hapo. Kasome hiyo boss
Hizo program zote shida tupu kwa sasa. At least Public Relation unaweza kuwa na uwanja mpana.Public relations and marketing - St Augustine
Public administration - Udom
Ushauri wenu wakuu ni wapi pana uwanja mpana.
Usipende ushaur wa haraka,,,Public relations and marketing - St Augustine
Public administration - Udom
Ushauri wenu wakuu ni wapi pana uwanja mpana.