Hii post nimekosea kuipost, nili click post accidentally..... I don't use drugs acha ushamba! I just can't delete it. Unatumia bangi pekeako co kila mtu.
Habari zenu wakuu, tunaonana kwa Mara nyingine. Inasemekana kusoma kitabu au hata jarida na nakara yoyote ni sawa na kupiga story na muandishi husika, hivyo ukisoma kitabu cha Donald Trump basi unapiga nae story pia, ukisoma Bible?
Ok leo unapiga story na mimi mtanzania mwenzenu, Leo tugusie...
WANAOSEMA WANAWAKE WANAVUTIWA NA WANAUME WAREFU... HAYA HARMORAPA NA MTOTO HUYOOOO MKALIII, JE, HARMORAPA MREFU??
OK... ENDELEENI KUREFUKA KIMO WAKATI WENYE PESA TUNAUJUA UKWELI!!
Habari wakuu, kwa Mara nyingine tena nawasilisha kwako mada niliyo iandaa ili kukufanya uwe bora zaidi. Huu bado ni mwanzo wa mwaka 2017 na ni imani yangu umejipanga kuboresha maisha yako huku Mungu akiwa tegemeo lako.
Katika pita pita zangu nilikutana na kipindi kwenye runinga juu ya mfalme...
Safi sana mkuu.... Analeta figisu kujaribu kuchomeka ukatili wao in the Bible!! Stupidity.... Hiyo mistari yooote aliyo quote haina maana hiyo anayo dhani, ni wazi hajasoma hata haya nzima, kachukua verse moja tu wakati siri ya kuielewa Bible ni kusoma mlango mzima (chapter) hasa chapter 1.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.