Je, shilingi milioni 2 Itatosha kwa biashara ya vifaa vya ujenzi na umeme?

2 MILION HIYO NI KUBWA SANA

- Tatizo letu sisi watanzania tunataka kuanzia juu, tunataka kuanzisha duka na kujaza vitu bila kujalisha vinanunuliwa au la, tunataka kupendezesha maduka, tunapenda kusifiwa kwamba duka la fulani limesheheni sana vitu,

Mkuu 2 milioni inatosha kabisa ni wewe kujipanga tu na kuja na strategies za kureduce cost na katika kupunguza kost hapo utafanikiwa, kuna watu walianza na mchicha fungu mbili lakini leo hii wako mbali sana, Yule Marehemu MUGUKU wa kule Kenya alianza na kuku wasio pungua kumi ila mwisho wa siku akaja kuingia kwenye Orodha ya matajiri watano wakubwa kabisa nchini Kenya, kinacho takiwa ni determination na si vinginevyo,

Unaweza kuwa na milioni 200 na bado ukashindwa kufanya hiyo biashara, tatizo tuna tageti utajiri wa haraka haraka na kutaka kusifiwa,

Ukiondoa mawazo ya kutaka utajirike fasta, kutaka uonekane, kutaka usifiwe utaweza songa mbele na hiyo milioni 2,

Na katika biashara kuna kitu kinaitwa kujiposition, na si lazima wewe uuze kila kitu, si lazima upambe duka kwa vitu visivyo nunuliwa mkuu,

NA MWISHO KABISA, TATIZO LILIPO HUKU JF NA MTAANI ni kwamba Unapo taka ushauri wa biashara ni bora kabisa ukawatageti wahusika means wafanya biashara wengine, HUMU JF UTAKUTANA NA WAHANGA WA MISHAHARA NA WATAKUKATISHA TAMAA BALAA, Mtu alisha zoea mwsiho wa mwezi na yeye kwake Biashara ni kama gereza so ni lazima ukatishwe tamaa, usitarajie hata siku moja kwenda kuomba ushauri kw amtu ambaye ni mwajiriwa utarajie Postive ushauri, atajitahidi sana kukuvunja moyo na kukuogopesha ili wote muwe kundi moja la Mwisho wa Mwezi




kama uliufanyia kazi huu ushauri nina hakika utakuwa mbali pia NDUGU YANGU USIPENDE KUBADILI MAWAZO KISA UMEAMBIWA HIVI ni bora ukatafuta namna ya kujiongeza kuliko kubadili maana hutakuwa na passion bali upo after money KITU CHOCHOTE PESA IWE BAADAE pesa huwa inakuja tu hata laki tano ni mtaji tosha kwa vifaa vya ujenzi kikubwa una maono gani ANAEPINGA ANIULIZE NIDADAVUE kufanikiwa sio leo ni kesho
 
2 MILION HIYO NI KUBWA SANA

- Tatizo letu sisi watanzania tunataka kuanzia juu, tunataka kuanzisha duka na kujaza vitu bila kujalisha vinanunuliwa au la, tunataka kupendezesha maduka, tunapenda kusifiwa kwamba duka la fulani limesheheni sana vitu,

Mkuu 2 milioni inatosha kabisa ni wewe kujipanga tu na kuja na strategies za kureduce cost na katika kupunguza kost hapo utafanikiwa, kuna watu walianza na mchicha fungu mbili lakini leo hii wako mbali sana, Yule Marehemu MUGUKU wa kule Kenya alianza na kuku wasio pungua kumi ila mwisho wa siku akaja kuingia kwenye Orodha ya matajiri watano wakubwa kabisa nchini Kenya, kinacho takiwa ni determination na si vinginevyo,

Unaweza kuwa na milioni 200 na bado ukashindwa kufanya hiyo biashara, tatizo tuna tageti utajiri wa haraka haraka na kutaka kusifiwa,

Ukiondoa mawazo ya kutaka utajirike fasta, kutaka uonekane, kutaka usifiwe utaweza songa mbele na hiyo milioni 2,

Na katika biashara kuna kitu kinaitwa kujiposition, na si lazima wewe uuze kila kitu, si lazima upambe duka kwa vitu visivyo nunuliwa mkuu,

NA MWISHO KABISA, TATIZO LILIPO HUKU JF NA MTAANI ni kwamba Unapo taka ushauri wa biashara ni bora kabisa ukawatageti wahusika means wafanya biashara wengine, HUMU JF UTAKUTANA NA WAHANGA WA MISHAHARA NA WATAKUKATISHA TAMAA BALAA, Mtu alisha zoea mwsiho wa mwezi na yeye kwake Biashara ni kama gereza so ni lazima ukatishwe tamaa, usitarajie hata siku moja kwenda kuomba ushauri kw amtu ambaye ni mwajiriwa utarajie Postive ushauri, atajitahidi sana kukuvunja moyo na kukuogopesha ili wote muwe kundi moja la Mwisho wa Mwezi
Daaah umenikanyaga mkuu...........huu ndo ukweli hapo kwenye rangi hapo 100%
 
mkuu, usikate tamaa !! kama fremu ya biashara unayo tayari katika location nzuri i mean kodi haimo kwenye 2M, basi unaweza kuanza kwa kuweka vitu ambavyo ni fast moving na visivyohitaji mtaji mkubwa, uneweza anza na misumari, binding wire, square box, conduit pipes, hata switches na sockets ukanunua nusu dozen, baada ya kuwa na duka then kuna suppliers wenye maduka makubwa ya wholesale watakupa mzigo kwa mali kauli

mtaji wa cement ni mkubwa faida ndogo sana

all the best
Safi sana mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu, usikate tamaa !! kama fremu ya biashara unayo tayari katika location nzuri i mean kodi haimo kwenye 2M, basi unaweza kuanza kwa kuweka vitu ambavyo ni fast moving na visivyohitaji mtaji mkubwa, uneweza anza na misumari, binding wire, square box, conduit pipes, hata switches na sockets ukanunua nusu dozen, baada ya kuwa na duka then kuna suppliers wenye maduka makubwa ya wholesale watakupa mzigo kwa mali kauli

mtaji wa cement ni mkubwa faida ndogo sana

all the best
Mali kauli ni nini mkuu? Hili neno nalisikiaga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina duka la vyakula na mahitaji ya nyumbani naliuza kwa sababu nataka nihamie mkoani Njoo uliendeleze biashara site ni nzuri nipo Mbagala Zakhem kodi 50 kwa mwezi bado miezi miwili
Pia nauza freezer kubwa la biashara 480,000/= na pikipiki used nzima 700,000/= tu bei ya hasara
Computer desktop used 150,000/=
Camera digital aina ya Sony 95,000/= tuu
Call 0769017151


Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 MILION HIYO NI KUBWA SANA

- Tatizo letu sisi watanzania tunataka kuanzia juu, tunataka kuanzisha duka na kujaza vitu bila kujalisha vinanunuliwa au la, tunataka kupendezesha maduka, tunapenda kusifiwa kwamba duka la fulani limesheheni sana vitu,

Mkuu 2 milioni inatosha kabisa ni wewe kujipanga tu na kuja na strategies za kureduce cost na katika kupunguza kost hapo utafanikiwa, kuna watu walianza na mchicha fungu mbili lakini leo hii wako mbali sana, Yule Marehemu MUGUKU wa kule Kenya alianza na kuku wasio pungua kumi ila mwisho wa siku akaja kuingia kwenye Orodha ya matajiri watano wakubwa kabisa nchini Kenya, kinacho takiwa ni determination na si vinginevyo,

Unaweza kuwa na milioni 200 na bado ukashindwa kufanya hiyo biashara, tatizo tuna tageti utajiri wa haraka haraka na kutaka kusifiwa,

Ukiondoa mawazo ya kutaka utajirike fasta, kutaka uonekane, kutaka usifiwe utaweza songa mbele na hiyo milioni 2,

Na katika biashara kuna kitu kinaitwa kujiposition, na si lazima wewe uuze kila kitu, si lazima upambe duka kwa vitu visivyo nunuliwa mkuu,

NA MWISHO KABISA, TATIZO LILIPO HUKU JF NA MTAANI ni kwamba Unapo taka ushauri wa biashara ni bora kabisa ukawatageti wahusika means wafanya biashara wengine, HUMU JF UTAKUTANA NA WAHANGA WA MISHAHARA NA WATAKUKATISHA TAMAA BALAA, Mtu alisha zoea mwsiho wa mwezi na yeye kwake Biashara ni kama gereza so ni lazima ukatishwe tamaa, usitarajie hata siku moja kwenda kuomba ushauri kw amtu ambaye ni mwajiriwa utarajie Postive ushauri, atajitahidi sana kukuvunja moyo na kukuogopesha ili wote muwe kundi moja la Mwisho wa Mwezi
Nimeipenda uko vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu, usikate tamaa !! kama fremu ya biashara unayo tayari katika location nzuri i mean kodi haimo kwenye 2M, basi unaweza kuanza kwa kuweka vitu ambavyo ni fast moving na visivyohitaji mtaji mkubwa, uneweza anza na misumari, binding wire, square box, conduit pipes, hata switches na sockets ukanunua nusu dozen, baada ya kuwa na duka then kuna suppliers wenye maduka makubwa ya wholesale watakupa mzigo kwa mali kauli

mtaji wa cement ni mkubwa faida ndogo sana

all the best
Good Idea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 MILION HIYO NI KUBWA SANA

- Tatizo letu sisi watanzania tunataka kuanzia juu, tunataka kuanzisha duka na kujaza vitu bila kujalisha vinanunuliwa au la, tunataka kupendezesha maduka, tunapenda kusifiwa kwamba duka la fulani limesheheni sana vitu,

Mkuu 2 milioni inatosha kabisa ni wewe kujipanga tu na kuja na strategies za kureduce cost na katika kupunguza kost hapo utafanikiwa, kuna watu walianza na mchicha fungu mbili lakini leo hii wako mbali sana, Yule Marehemu MUGUKU wa kule Kenya alianza na kuku wasio pungua kumi ila mwisho wa siku akaja kuingia kwenye Orodha ya matajiri watano wakubwa kabisa nchini Kenya, kinacho takiwa ni determination na si vinginevyo,

Unaweza kuwa na milioni 200 na bado ukashindwa kufanya hiyo biashara, tatizo tuna tageti utajiri wa haraka haraka na kutaka kusifiwa,

Ukiondoa mawazo ya kutaka utajirike fasta, kutaka uonekane, kutaka usifiwe utaweza songa mbele na hiyo milioni 2,

Na katika biashara kuna kitu kinaitwa kujiposition, na si lazima wewe uuze kila kitu, si lazima upambe duka kwa vitu visivyo nunuliwa mkuu,

NA MWISHO KABISA, TATIZO LILIPO HUKU JF NA MTAANI ni kwamba Unapo taka ushauri wa biashara ni bora kabisa ukawatageti wahusika means wafanya biashara wengine, HUMU JF UTAKUTANA NA WAHANGA WA MISHAHARA NA WATAKUKATISHA TAMAA BALAA, Mtu alisha zoea mwsiho wa mwezi na yeye kwake Biashara ni kama gereza so ni lazima ukatishwe tamaa, usitarajie hata siku moja kwenda kuomba ushauri kw amtu ambaye ni mwajiriwa utarajie Postive ushauri, atajitahidi sana kukuvunja moyo na kukuogopesha ili wote muwe kundi moja la Mwisho wa Mwezi
Safi sana ... comment bora hii kwenye huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Hauna Tofauti Sana Na Maneno Ya CHASHA "Wengi Tunazani Mafanikio Ni Kuanzia Juu"
Nimependezwa Na Mnyumbuo Wako Ulivyoupanga
Ahsante Sana Kiongozi!
Mkuu naomba nikushauri mkopo unavyoleta ufanisi. Usikope kuanzisha biashara,kopa kuendeleza biashara. Biashara zina changamoto nyingi sana mwanzoni,presha ya marejesho siyo mchezo mkuu. Mimi nilishafanya kazi katika taasisi ya kutoa mikopo,policy za taasisi nyingi za mikopo ni kutoa mikopo kwa biashara ambazo tayari zimeanzishwa siyo startups,ila kutokana na presha za targets za maafisa mikopo huwa wanaforce ili kumeet targets kitu ambacho hakitakiwi. Kwa hiyo mkuu sikushauri kujaribu kuanzisha biashara na hela ya mkopo kabisa.
 
2 MILION HIYO NI KUBWA SANA

- Tatizo letu sisi watanzania tunataka kuanzia juu, tunataka kuanzisha duka na kujaza vitu bila kujalisha vinanunuliwa au la, tunataka kupendezesha maduka, tunapenda kusifiwa kwamba duka la fulani limesheheni sana vitu,

Mkuu 2 milioni inatosha kabisa ni wewe kujipanga tu na kuja na strategies za kureduce cost na katika kupunguza kost hapo utafanikiwa, kuna watu walianza na mchicha fungu mbili lakini leo hii wako mbali sana, Yule Marehemu MUGUKU wa kule Kenya alianza na kuku wasio pungua kumi ila mwisho wa siku akaja kuingia kwenye Orodha ya matajiri watano wakubwa kabisa nchini Kenya, kinacho takiwa ni determination na si vinginevyo,

Unaweza kuwa na milioni 200 na bado ukashindwa kufanya hiyo biashara, tatizo tuna tageti utajiri wa haraka haraka na kutaka kusifiwa,

Ukiondoa mawazo ya kutaka utajirike fasta, kutaka uonekane, kutaka usifiwe utaweza songa mbele na hiyo milioni 2,

Na katika biashara kuna kitu kinaitwa kujiposition, na si lazima wewe uuze kila kitu, si lazima upambe duka kwa vitu visivyo nunuliwa mkuu,

NA MWISHO KABISA, TATIZO LILIPO HUKU JF NA MTAANI ni kwamba Unapo taka ushauri wa biashara ni bora kabisa ukawatageti wahusika means wafanya biashara wengine, HUMU JF UTAKUTANA NA WAHANGA WA MISHAHARA NA WATAKUKATISHA TAMAA BALAA, Mtu alisha zoea mwsiho wa mwezi na yeye kwake Biashara ni kama gereza so ni lazima ukatishwe tamaa, usitarajie hata siku moja kwenda kuomba ushauri kw amtu ambaye ni mwajiriwa utarajie Postive ushauri, atajitahidi sana kukuvunja moyo na kukuogopesha ili wote muwe kundi moja la Mwisho wa Mwezi
Umenena mkuu
 
Back
Top Bottom