misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,643
- 9,339
Na mimi pia mpungaMM pioa naomba
Jamani mimi pia naomba kujoin ila mm mpunga zaidi
Na mimi pia mpungaMM pioa naomba
Jamani mimi pia naomba kujoin ila mm mpunga zaidi
Mkuu upo seriousNjoo Nemes nina upendo kabisa ninachohitaji ardhi ilimwe kwakuwa hutaondoka nayo utatumia utaiacha, so feel free ila shamba lenyewe lipo kijiji kinaitwa Chiwanda kando ya barabara ya kuelekea sumbawanga kilometa 29 toka Tunduma
Panafaa kwa kilimo gani mkuu?Njaa inakuuma wewe!!!, nina shamba la ekari 70 nalima ekari 30 ndiyo uwezo wangu, mimi nimemwalika hata bure atalima badala ya kukaa pori naona unatokwa viroboto mdomoni!!!! Ok akitaka aje asipotaka hamna kesi!!!
Mkihitaji kuchimba kisima(visima) ili kuwa na uhakika wa Maji popote pale nishtueni. Nafanya kuanzia survey,Drilling mpaka kuunga pump. Niko Mbeya mjini.Kama itahitajika water pump na mipira tunachanga tuMknanunua.
Shamba lile kwa sasa majirani na mimi tumepanda mahindi na yamestawi vyema, ila mazao kama ufuta, mihogo,maharage vinastawi pia,lakini cha kufurahisha kuna mto ambao ni 12 months flowing mita 60 toka shambaniNi mazao gani yanayostawi hapo mkuu? Me napenda sana kilimo, ila pa kuanzia ndio sina.
Niliambiwa hayo maeneo mazao mengi sana yanastawi sana. Vipi lakini hali ya miundombinu?Njoo Nemes nina upendo kabisa ninachohitaji ardhi ilimwe kwakuwa hutaondoka nayo utatumia utaiacha, so feel free ila shamba lenyewe lipo kijiji kinaitwa Chiwanda kando ya barabara ya kuelekea sumbawanga kilometa 29 toka Tunduma
Niliambiwa hayo maeneo mazao mengi sana yanastawi sana. Vipi lakini hali ya miundombinu?Njoo Nemes nina upendo kabisa ninachohitaji ardhi ilimwe kwakuwa hutaondoka nayo utatumia utaiacha, so feel free ila shamba lenyewe lipo kijiji kinaitwa Chiwanda kando ya barabara ya kuelekea sumbawanga kilometa 29 toka Tunduma
Ntakuja PM mkuu ili tubadilishane mawazoShamba lile kwa sasa majirani na mimi tumepanda mahindi na yamestawi vyema, ila mazao kama ufuta, mihogo,maharage vinastawi pia,lakini cha kufurahisha kuna mto ambao ni 12 months flowing mita 60 toka shambani
Miundombinu barabara ipo ya lami km1 toka shambani ni suala la kujiorganise kufyeka barabara kwa sababu hakuhitaji kujenga daraja eneo ambalo mashamba yapo so usafirishaji wa mazao ni rahisiNiliambiwa hayo maeneo mazao mengi sana yanastawi sana. Vipi lakini hali ya miundombinu?
Nimekusoma pm nimejibuNiliambiwa hayo maeneo mazao mengi sana yanastawi sana. Vipi lakini hali ya miundombinu?
Mkuu pia nimekupm piaNimekusoma pm nimejibu
Nisaidie no. Yako mbabaKilimo cha mahindi (umwagiliaji) Utengule, Ipo wilaya ya mbeya vijijini, unaingilia mjimdogo wa mbalizi. Kutoka mbeya mjini had utengule nauli ni kati ya sh. 2000 had 4000.
ni sehemu nzuri sana kwa kilimo cha umwagiliaji na watu wanafsnya hayo tangu kitambo
Kuna mifereji inayotiririsha maji muda wote hata kiangazi kikali...
Watu wanalima nyanya pia
niulize zaidi kama una swali
We jamaa nitakuchekiMiundombinu barabara ipo ya lami km1 toka shambani ni suala la kujiorganise kufyeka barabara kwa sababu hakuhitaji kujenga daraja eneo ambalo mashamba yapo so usafirishaji wa mazao ni rahisi