Recent content by mborake

  1. M

    CCM ianze kuzoea kuwa chama cha upinzani mapema

    Boy acha ushabiki tuungane tumchague kiongozi mwenye sifa na atakayewafaa watanzania kwa ujumla bila kujali utabaka na ambaye atakuwa na mamuzi sahih na kwa wakati
  2. M

    Swala Tano na Walokole mnazingua maofisini

    Tumekosa hekima na maarifa juu ya dini hizi. Tumekua watumwa wa dini baadala ya mungu.Kukosa kuwa na hekima na busara juu ya dini hizi mwenyezi mungu hatuko nae. Ndungu shituka kutoka usingizini juu ya neno dini.
  3. M

    Naombeni msaada, mke wangu baunsa ataniua

    daaaah pole kijana sasa kipindi unaoa ulikua haujui km ni bausa?
  4. M

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    jamaani tuache makocha waliosomea kazi hiyo kufanya kazi yao kuna vigezo anbavyo wanavitumia kumchagua mchezaji wenzangu
  5. M

    Katiba ya zanzibar ndio sababu no 1 ya serikali tatu.

    kimefika kipindi cha watu kujua haki zao mambo haya yanahitaji kufikiria juu ya hii serekali tatu maana hapa kuna kazi nzito
  6. M

    Wanaume Wawili Mashoga Wapata vyeo Vikubwa Serekalini

    vp mbona ni ushoga lkn imekua debit ya dini?
  7. M

    Hali yaendelea kuwa mbaya st joseph songea!!

    jamani tulikomboe taifa na sio kulalamika mtapewa zitakapokua tayari
  8. M

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    ukijua kweli na usitende kweli ni kosa
  9. M

    Udom na majanga yake

    pole sana vijana maana huo msiba wenu hata ss pia shuleni kwetu pia upo
  10. M

    JK kuongea kwenye mazishi ya Mandela

    mbona hata viongozi tuliowachagua tunawadharua sisi wenyewe?
  11. M

    Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

    kufukuzwa kwa sio tija ndani ya chama lkn wanachama tukae nao watueleze kwa marefu na mapana kwa nn wamue kufanya hivyo na kwa lengo lipi?
  12. M

    Kenya, Uganda, Rwanda Kufungua Mipaka

    kueni makini na hilo watanzania maana inashangaza mno
  13. M

    Kwa waliochaguliwa vikindu teaching college tukutane hapa...!!!!!

    masomo mema ndugu zetu nasi tuombeane na ss ni form 5kwa sasa
Back
Top Bottom