Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

Ukimfumani mkeo juu ya kitanda chenu na mume mwingine tena akiwa analilia utamu na kusema lol yes yr so cool just do it yaani hata mume wangu hajawahi nifikisha hapa whaoo yr so sex baby am so so satsfy, utamweka kwenye kamati ya nidhamu au utamfanya nini?

Hatar kwelikweli,we ni mtazamaji wa Filam za Ngono kupindukia,Maneno yk umekopy kutoka kwa Roxy Jezel,hiyo ndio kazi inayokufaa sio Siasa huiwezi
 
kwa afya ya chama si jambo la kufurahia kufukuzana, busara ni kutafuta nini chanzo na tatizo.
 
Hatar kwelikweli,we ni mtazamaji wa Filam za Ngono kupindukia,Maneno yk umekopy kutoka kwa Roxy Jezel,hiyo ndio kazi inayokufaa sio Siasa huiwezi
Mpaka hapa tayari nishafahamu kwamba wewe ni ndondocha na hapa sasa ndio unataka kufananisha watu na akili zako fupi za kutizama Porno na hapa moja kwa moja unatuambia tuangalie hizo film zako kaka kama hii ndio kazi yako ya kuangalia porno ni better auche mara moja. Fanya kazi sana ondoa mawazo ya kuangalia film za ngono na kama huwezi basi jaribu hata kutembelea rafiki zako na ukirudi ni usiku umechoka na kalale mara moja hizo film zako sijui za kina Roxy achana nazo hazina tija kwa maisha yako ukishindwa tafuta Girlfriend ndugu yangu.Hivi ushaona bei mpya ya umeme lakini????
 
bichwa kubwa akili kidogo ,sasa! ni kweli kusoma hujui inamana hata picha tu inakushinda kuielewa?



Cdm kulikoni? Naona kifo cha mende kimewakaribia sana ndo maana mko chali mnagalagala! LOWASA tu akitajwa cdm wote wamelazwa hoi.
 
kufukuzwa kwa sio tija ndani ya chama lkn wanachama tukae nao watueleze kwa marefu na mapana kwa nn wamue kufanya hivyo na kwa lengo lipi?
 
Hatar kwelikweli,we ni mtazamaji wa Filam za Ngono kupindukia,Maneno yk umekopy kutoka kwa Roxy Jezel,hiyo ndio kazi inayokufaa sio Siasa huiwezi

id yako imenifurahisha, jidondofila! Huyo mdudu anaogopesha balaa
 
Vijana wapatao 12 na wafuasi wa Cdm wanatarajiwa kuvuliwa uachama leo kuanzia saa nne asubuhi ktk kikao cha kamati tendaji Wilaya.Vijana hso ni
Joseph Kasambala-Mratibu BVC Mkoa
Edga Chae-Mw/kiti BVC Mbeya mjini
Gidion Mwanjoka-Mhazini Bvc Mbeya mjini
Lidia Mwaipaja- Bawacha mkoa
Geofrey Nkwile-Mjumbe Bvc
Felix Mkusa
Geofrey Sanga
Jen Jojo
Xb
Silipa Tenga
Kijallo Martin
Na aliyekuwa kampeni meneja wa Mh Sugu Mwalwiba
Wanatuhumiwa kukihujumu chama.kwa kukaa kikao na Fred Lowwassa

toa update sasa je wamefukuzwa au ....
 
Vijana wapatao 12 na wafuasi wa Cdm wanatarajiwa kuvuliwa uachama leo kuanzia saa nne asubuhi ktk kikao cha kamati tendaji Wilaya.Vijana hso ni
Joseph Kasambala-Mratibu BVC Mkoa
Edga Chae-Mw/kiti BVC Mbeya mjini
Gidion Mwanjoka-Mhazini Bvc Mbeya mjini
Lidia Mwaipaja- Bawacha mkoa
Geofrey Nkwile-Mjumbe Bvc
Felix Mkusa
Geofrey Sanga
Jen Jojo
Xb
Silipa Tenga
Kijallo Martin
Na aliyekuwa kampeni meneja wa Mh Sugu Mwalwiba
Wanatuhumiwa kukihujumu chama.kwa kukaa kikao na Fred Lowwassa

Mbona huyu anampigia debe waziwazi Kikwete na hafukuzwi:

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
 
mimi ni mmoj a wao hakuna aliyekaa na lowasa wala mwanaye mwenye ushahidi alete nataka ushahidi wa video picha au sauti hatoki mtu chadema
 
Back
Top Bottom