Mimi niko kimya tu, mkilianzisha nasaport 100% kuanzia iissue ya richmond,Kiwira, mafuta kukosekana, posho za wabunge, migomo ya waalimu, madaktari bado askari, wanajeshi na magereza. Mi niko tu nasikilizia, hii ya ridhiwani ikikamilika tu, msishangae nikawa wa kwanza kupigwa risasi kwa ajili ya...