Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Mwakyembe asilaumiwe kwani hajaficha ugonjwa wake alichofanya ni kuwasilisha serikalini kiini cha ugonjwa wake (ripoti ya madaktari) sasa ni jukumu la serikali yetu kutujuza la sivyo wasitulaumu kwa yale tunayoyafikiri na kuyasema..
 
What do you know about CCM?
1.Kolimbaliza
2.Mlema august
3.about 1984
4.Late USALAMA WA TAIFA
5.DR.Salim A Salim

Think about it and then reply

Tanzania without CCM its Possible play your part
 
Dah, maskini Makyembe... usikate tamaa mkuu, wanaharakati tuko nyuma yako katika positive changes ya JMT
 
Muulizeni yule kinega Jason Bourne..maana yeye anadai yupo dakika moja mbele.
 
kihere here sana huyo jamaaa kwanza amelitia taifa hasara kwa kuumwa kwake
 
Hiyo picha ni Mwakyembe tunayemjua ama ni kaka yake?
Asante, nilifikiri macho yangu hayaoni vizuri kumbe tuko wengi.


Mie nahisi hiyo picha ni ya babake asee manake daaah! Kazeeka mbaya kabisa.
 
Asante, nilifikiri macho yangu hayaoni vizuri kumbe tuko wengi.

Mie nahisi hiyo picha ni ya babake asee manake daaah! Kazeeka mbaya kabisa.

Dah!! Kazi ya Mungu haina makosa!!!
 
dah!!
siamini macho yangu.Pole mzee wetu.Nashindwa hata niandike nini nimeishiwa nguvu. Mungu akupe nguvu.
 
nimeshangazwa sana na kitendo cha huyu kiongozi kuonyesha dalili zote za kuogopa kuwaeleza watanzania chanzo cha ugonjwa uliomsibu,
hii inatuonyesha dhairi huyu jamaa ni mpayukaji asiye na nguvu yoyote ile,inaonyesha jinsi anavyoendeleza tabia za kulindana na kuficha ukweli ndani ya chama chake cha majizi,
watanzania tuliokuwa tumehuzunishwa na kuugua kwake tunaanza kuona jinsi tulivyojipotezea wakati wetu kuwaza kuhusu huyu mnafiki mkubwa,nakumbuka nilimwombea na kuhuzunika sana juu yake,
kwani ukitamka ulipewa sumu au ulipuliziwa sumu kutakuwa na shida gani wee jamaa?utaondolewa huo unaibu uwaziri au utanyang'anywa ubunge?
mimi nina imani na wanyakyusa sio watu wa kuficha uovu na kuogopa baadhi ya watu,unafikiri utapewa Urais au??
kuanzia leo heshima yangu kwako ni kwisha!!!!huna maana kabisa we
 
Back
Top Bottom