Superman, kuna tatizo ambalo mimi ninaliona..
(1) Tanzania kwa sasa ni nchi volatile na potential kwa mega riots na bahati mbaya hakuna mtu anayejuwa namna ya kumanage political risk kama Mchonga
(2) Siasa za Tanzania sasa hivi siyo zile za zidumu fikra sahihi za m/k Mao, sasa hivi hata
- ndani ya chama cha CCM hakuna umoja tena, na hata ule umoja wa kinafiki umetoweka haupo
- siasa za makundi zilizoanza miaka ya 1995 ni vigumu kuziratibu kwa sababu ya uwepo wa vyama vya upinzani vyenge nguvu na kukubalika na wengi
- Migawanyiko ndani ya chama sasa imevuka mipaka hadi kufika kwa wananchi na vyombo vya dola
(3) Hali ya umafia inayoendelea ni haileti tija kwa amani na umoja wa kitaifa
(4) Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umefikia climax au point of diminishing returns. Hata wa-Bara sasa hawautaki na kuweka mgombea kutoka Zanzibar ni kuharakisha matokeo ya symptoms ninazoeleza
(5) Hali ya mgawanyiko wa kidini ulioasisiwa na Kikwete is still existant and can now provide the minimum energy for majority of the voters to revolt ... hili mkuu litashangaza wengi kwa sababu lipo na halifutiki kirahisi. Isome vizuri mifano ya mifano ya huko Arusha, Mbeya na kwingine..
(6) Kiwango cha ufisadi kilichojidhihirisha mpaka sasa kinatisha, kukirihisha, na kutia hasira inayoamsha hamasa ya watu wengi kwa haraka kuichukia CCM. Watetezi wa CCM ni wanufaika wa mfumo CCM ambao nao si wengi.
(7) hauchi hauchi kunakucha ... tujiandae kwa matokeo tusiyuyapenda kutokea katika nchi yetu kuanzia sasa
My conclusion:
Wakichagua vibaya candidate wa kumrithi Kikwete utakuwa ndiyo mwisho wa CCM, mwisho wa Tanzania, mwisho wa Muungano, mwisho wa kisiwa cha amani.... I keep my fingers closed