kama nimekosea si unanirekebisha tu.Zihara ndio neno gani? Yaani humu jf kuna watu kiswahili kinawashinda sana hata sijui wamesoma shule gani. Mtu anatumia h sehemu ambayo haitakiwi kabisa, na hili tatizo limekuwa sugu sana humu jf. Inakera kiasi kwamba hata kama mtu ameandika points za maana lakini ukishaona tu hivyo hata hamu ya kuendelea huna? Kuzuhia, kuhaga, zihara, fulaa.....