Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wadau;
Serikali yetu inayoongozwa na magamba sasa imedhihirika rasmi kwamba imefilisika. Mwanahalisi leo imeandika kwamba serikali iko hoi kifedha na imetoa nakala ya barua kutoka menejiment ya utumishi wa Umma ambayo ni taasisi chini ya Ofisi ya rais kwenda kwa makatibu Wakuu wote ikiwaagiza kwamba kutokana na ufinyu wa mapato ya serikali, ajira mpya zipunguzwe kwa asilimia 50. Upandishwaji vyeo nao upunguzwe kwa asilimia hiyo hiyo.
CCM KAZI KWISHA!!! WAMESHINDWA KABISA KUSIMAMIA NCHI!
Serikali yetu inayoongozwa na magamba sasa imedhihirika rasmi kwamba imefilisika. Mwanahalisi leo imeandika kwamba serikali iko hoi kifedha na imetoa nakala ya barua kutoka menejiment ya utumishi wa Umma ambayo ni taasisi chini ya Ofisi ya rais kwenda kwa makatibu Wakuu wote ikiwaagiza kwamba kutokana na ufinyu wa mapato ya serikali, ajira mpya zipunguzwe kwa asilimia 50. Upandishwaji vyeo nao upunguzwe kwa asilimia hiyo hiyo.
CCM KAZI KWISHA!!! WAMESHINDWA KABISA KUSIMAMIA NCHI!