huna hata chembe ya aibu kidogo!!!! yaani hao uliowachagua baada ya kulambishwa vijisenti kiduchu, fulana, kofia na masufulia ya pilau ndo unawaona wa maana??? watu wenye sifa hawachaguliwi kwa vidole!Inakuwaje uteuzi wako wote ukanyooshewa vidole? Unamwakilisha nani hapo? kama ni wananchi mbona watu tuliowakataa kwenye kura wewe unawapa madaraka?
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .