Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
Umelaniwa wewe na CCM yako,Gamba mkubwa wewe mke wa Nape!
wewe utakuwa mke mdogo wa NAPE mbona wivu umekuzidi?
Umelaniwa wewe na CCM yako,Gamba mkubwa wewe mke wa Nape!
wewe tunakuelewa ni nani na lengo lako linajulikana. upo chadema lakini huipendi chadema kwa sababu ya ubinafsi wako. na uenyeketi unaouota kila siku utaukosa. na kule nccr mageuzi nako kumeota mbawa. umeula wa chuya...Hospitali ya Muhimbili imefungwa!
Chadema wana waza Uzini ruzuku iongezeke, kusisitiza migomo na maandamano sio rahisi kwani JK amekuwa mwenyeji wao mzuri mno....wanamuonea aibu!
kama mnaipenda nchi hii...saa ya ukombozi ni sasa, himizeni watu waingie barabarani...mkifanya hivyo support haitakuwa kwa wana CDM tu, bali na wana CCM wengi tu!!
wewe tunakuelewa ni nani na lengo lako linajulikana. upo chadema lakini huipendi chadema kwa sababu ya ubinafsi wako. na uenyeketi unaouota kila siku utaukosa. na kule nccr mageuzi nako kumeota mbawa. umeula wa chuya...
"Kwa sisi wenye akili ''najisifu ngaa kidogo'' kwa nini tusisifie CCM kwa siasa zake za kuharibu nguvu na bongo ya wapinzani kwa utashi wa wapinzani wenyewe? Whoever said CCM is a group of idiot and moron was wrong, Is a group of smart people who are brilliant and can play with people's mind for their own benefit! Yes chadema has been played and they are now like ‘candle in the wind"
Kwa Mtaji huu Idi Amini alifanikiwa sana katika utawala wake.
Hitler naye alifanikiwa sana.
Mobuto pia alikuwa very smart.
Hata Makaburu walifanikiwa sana katika siasa zao kwani Mandela ilibidi atoke Jela mwenyewena kwenda kuongea na wazungu kuthibitisha kwamba wazungu ni zaidi.
Akili ni nywele sasa sijui sisi wenye vipara kama Kinana akili ziko Robo????
Unaongea kishirikina.
Katika dunia yako kuingia Ikulu ni kuzinguliwa nguvu zako.
Ukitofautiana na CCM usiingie Ikulu.
Ukiingia usishikane mkono na Rais.
Naheshimu mawazo yako namwelekeo wako, lakini sioni kama unakupeleka mahali popote.
Wabe,
Maneno mazuri sana ila ni kwenye theory tu. Inavyokuja kwenye Practical, vyama vya Siasa au wapigania uhuru/haki inabidi wawe wamegawanyika katika sehemu mbili. Upande mmoja unaongea mezani na upande wa pili unapigana msituni.
Ungelilaumu Chadema kwa kutokuwa na wapiganaji wa msituni . Chadema kama chama cha siasa, kazi yao inatakiwa kuwa mezani na kuongea. Kuwa Ikulu na kuongea. Kuwa bungeni na kuongea.
Kwa hali tuliyonayo Tanzania, neno WAPIGANAJI WA MSITUNI sina maana watu wachukue silaha na kuingia kweli msituni kama mtani wangu kutoka Dodoma alivyosema. Chadema kama wapinzani, wanaweza kuwa wapo nyuma ya migomo mikubwa Tanzania ingawa officially hawakiri hata sehemu moja kuwa wana uhusiano wowote na migomo.
Kama Mandela angelichukua Silaha na kwenda kupigana moja kwa moja, walimlima risasi na mchezo ukaisha. Vijana wake waligawanyika huku wengine wakifanya siasa na kuishi Mazimbwe na wengine wakisomea vita na kuishi Kongwa. Msumbiji, Zimbabwe, Angola nk nako ilikuwa hivyohivyo. Wakati kulikuwa na ANC, upande mwingine kulikuwa na wale Wauwaji wa Umkhonto we sizwe au Spear of the National na kweli wameuwa sana watu weupe South Africa wakati wa ubaguzi wa rangi.
Chadema kama chama wakijipeleka mbelembele kichwakichwa kama unavyotaka wewe, wanazushiwa Vangi la kutaka kupindua nchi na hapo mechi inakuwa imekwisha. Hiyo ingelifaa tu kama nchi ingelikuwa INATAWALIWA NA NCHI/WATU WENGINE. Kwa mfano tuseme South Africa inatawala Tanzania na watu wanataka kugoma, hapo sasa Chadema wanajiingiza moja kwa moja kwani hawa jamaa wakiondoka, basi itabidi chama kingine kitawale.
Unaweza kuwa sawa kwa upande mmoja wa shilingi ila kumbuka shilingi ina pande tatu/ au zaidi? Kinachotakiwa kwa sasa ni sisi wananchi kwenda kuwasaidia Waganga katika mgomo wao na ikibidi Waalimu na taasisi nyingine ziungane kugoma na kupinga nyongeza za posho, kupanda kwa bei na maisha kwa ujumla. Chadema wawepo ila kwa siri sana.
Wabe,
Maneno mazuri sana ila ni kwenye theory tu. Inavyokuja kwenye Practical, vyama vya Siasa au wapigania uhuru/haki inabidi wawe wamegawanyika katika sehemu mbili. Upande mmoja unaongea mezani na upande wa pili unapigana msituni.
Ungelilaumu Chadema kwa kutokuwa na wapiganaji wa msituni . Chadema kama chama cha siasa, kazi yao inatakiwa kuwa mezani na kuongea. Kuwa Ikulu na kuongea. Kuwa bungeni na kuongea.
Kwa hali tuliyonayo Tanzania, neno WAPIGANAJI WA MSITUNI sina maana watu wachukue silaha na kuingia kweli msituni kama mtani wangu kutoka Dodoma alivyosema. Chadema kama wapinzani, wanaweza kuwa wapo nyuma ya migomo mikubwa Tanzania ingawa officially hawakiri hata sehemu moja kuwa wana uhusiano wowote na migomo.
Kama Mandela angelichukua Silaha na kwenda kupigana moja kwa moja, walimlima risasi na mchezo ukaisha. Vijana wake waligawanyika huku wengine wakifanya siasa na kuishi Mazimbwe na wengine wakisomea vita na kuishi Kongwa. Msumbiji, Zimbabwe, Angola nk nako ilikuwa hivyohivyo. Wakati kulikuwa na ANC, upande mwingine kulikuwa na wale Wauwaji wa Umkhonto we sizwe au Spear of the National na kweli wameuwa sana watu weupe South Africa wakati wa ubaguzi wa rangi.
Chadema kama chama wakijipeleka mbelembele kichwakichwa kama unavyotaka wewe, wanazushiwa Vangi la kutaka kupindua nchi na hapo mechi inakuwa imekwisha. Hiyo ingelifaa tu kama nchi ingelikuwa INATAWALIWA NA NCHI/WATU WENGINE. Kwa mfano tuseme South Africa inatawala Tanzania na watu wanataka kugoma, hapo sasa Chadema wanajiingiza moja kwa moja kwani hawa jamaa wakiondoka, basi itabidi chama kingine kitawale.
Unaweza kuwa sawa kwa upande mmoja wa shilingi ila kumbuka shilingi ina pande tatu/ au zaidi? Kinachotakiwa kwa sasa ni sisi wananchi kwenda kuwasaidia Waganga katika mgomo wao na ikibidi Waalimu na taasisi nyingine ziungane kugoma na kupinga nyongeza za posho, kupanda kwa bei na maisha kwa ujumla. Chadema wawepo ila kwa siri sana.
Maalim Seif ndiye atakayeimaliza CCM. Wasikilize wapambe wake akina Jussa sasa. Hata MUUNGANO huu uko mashakani sasa kuliko wakati mwingine wowote tangu kuasisiwa kwake.
CHADEMA inaandamwa na jinamizi la UCHAGGA tu. Wakiliweza hili TANZANIA ni yao.
Hatua hii ya kukutana Ikulu na JK, ilianzishwa na Chadema ambacho kilipinga muswada wa katiba mara mbili.
Chadema waliomba Appointement Ikulu, wakaruhusiwa walivyofika wakafanya mazungumzo na Rais JK, Kisha wakanywa juice,kahawa na Kashata, wakapiga picha na Rais na kuondoka.
Mie wasiwasi wangu unatokana na hii tabia ya kujifungia Ikulu kwa watu wachache na kufanya uamuzi wa watu wengi.
Hivi Chadema kwenda Ikulu, usiku kuzungumza na Rais, wananchi na wafuasi wa Chadema walihusishwa hadharani kuwa wanakwenda Ikulu kujadiliana na Rais?