Kumbe shabiby ndiyo walivyo HIVYO, lakini njia ya Arusha zipo dar LUX, Kilimanjaro express, hai express, tilisho, easter nk Na dar to Dom zipo super lux buses kimbinyiko, ABC buses hizi super roof machines
NAFIKIRI kupitia Uzi HUU wa LEO, nimeamini wapo baadhi ya wanaojiita wasabato masalia Ni SHIDA MNO, wana uelewa mdogo KHS biblia, watajaribu kuongelea chuki zao kwa kujaribu kutumia biblia in a wrong interpretation kuzungumzia mawazo ya mwanzilishi wa dhehebu lao anaitwa G. White KUHUSU uelewa...
HII mada ya ufugaji, mbona huwa inazungumzwa Na madalali, kwanini huwa haizungumzwi Na wafugaji wenyewe? Kumbuka, kuku hufa sana Na magonjwa mbalimbali kama kideri, nk Na gharama za madawa ziko juu SANA.
Ufugaji Ni gharama SANA Na faida yake Ni ndogo MNO Na unaweza kufuga kwa hasara KBS
Sent...
Kaka Mayalla Paschal, hayo yote yapo ktk rasimu ya pili ya tume ya warioba, tumuombe Mungu atusaidie turudi kuyapitia yote makabrsha ya tume, turudi tuandike kariba ya karne
PhD candidate is the person, who is prepared to the intellectual person who specializes a certain branch of knowledge and expert to solve any problem in the society
Sent using Jamii Forums mobile app
PLEASE nenda muhimbili medical hospital nenda kitengo cha magonjwa ya ini, utaonana Na madaktari bingwa utaanzishwa dozi ya kukusaidia body immunity iwe Na nguvu ya kufight against the Hbv, please give up, God will heal YOU through medical treatment
Sent using Jamii Forums mobile app
We are suffering from saridecease, if we don't sack this manager, we gonna not enter into top four EPL. The team does possess football, but can't win against very small teams, we have no coach
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kasahau KBS, kwa maoni yangu, wairaq, wambulu, wasambaa, wabondei, wadigo, wanyatulu, wanyiramba, wapare, warangi, wachaga, wahangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye clip ya hotuba ya mh halima mdee bungeni akiwatetea wanasheria wote. Tupeni pia clip ya hotuba ya mh lissu ktk bunge la katiba, hapo tujadili ya mtoa Uzi huu
Mimi ni mkatoliki, nilibatizwa mwaka wa 1970, nilizaliwa mwaka 1968 NA sasa Nimefikisha miaka 50 na miezi kadhaa. Kwa kweli niseme tu, hizo kashifa dhidi ya kanisa letu hazikuanza Leo, zipo tangu zamani miaka ya nyuma sana na ziliasisiwa miaka 1880 NA waprostetant wa karne hizo NA baadaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.