Recent content by Lubengo

  1. Lubengo

    Unakufa Thread

    Tunakuchukua Tunakuzika tunaokota Mipango yako tunaenda kuuza
  2. Lubengo

    Wakenya na program yao ya chuchilshow.

    Ndugu Prof Hamo ni mwajiliwa tu na mwenye hiko kipindi ni Daniel "Churchill" Ndambuki huyu ndio Owner na Founder wa Kipindi hiki cha Churchill Show
  3. Lubengo

    How your home screen looklike

    Yangu
  4. Lubengo

    Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

    Kuna tofauti kubwa kati ya Sonko na Makonda Makonda hawezi Onyesha vyeti kwa sababu yeye siyo Mwanasiasa, Mtumishi aombwi vyeti na watu tu alafu na yeye akaonyesha Mtumishi anaombwa vyeti na boss wake ambaye ni mwajili wake na siyo tu mtu kuandika Facebook au Jamii Forum kuomba vyeti vya mtu...
  5. Lubengo

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Sasa hapo atatoa ushahidi kwa maneno ya mitaani acha boss wake amuombe kama hatatoa
  6. Lubengo

    Rais Magufuli alivyoirudia mistari ya wimbo wa 'muziki' wa darassa

    Haha haha Mkuu kamaliza kabisa
  7. Lubengo

    Swaga za miwani

    Ndio
  8. Lubengo

    Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

    Note 4 ina camera nzuri sana kuzidi Iphone
  9. Lubengo

    Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

    Wanatakiwa kwenda kwa katibu wa mbunge atawapa ratiba zote za vikao vya naibu spika. Wao huwa wanafanya kama utoto ndani ya bunge ili waonekane kwenye Tv wametoka tena nje ili wapate sifa za kuwa wameingia na kutoka tena na tena Wanatakiwa kwenda kwa katibu wa mbunge atawapa ratiba zote za...
  10. Lubengo

    JWTZ Wakanusha taarifa za kuibiwa Kifaru

    Hawaja dhalilisha Jeshi Mwandishi anasema kesi ipo mahakamani
  11. Lubengo

    Wadada basi hata aibu hakuna??

    Katika watu ambao nimeanza wafahamu hawana hatma ni weee hapo yaani unashindwa kula nyama kwa sababu tu nyumbani wamepika nyama....Lione kwanza hizo hadithi zako kama unaona ni nzuri kamwadithie Kiongozi wako wa Kanisa..
  12. Lubengo

    Updates zoezi la kuzima simu bandia

    Sidhani kama ni fake ndio maana INAGANYA KAZI
  13. Lubengo

    Queen Elizaberth ampokea Rais Obama akiwa kavaa headscarves - In Islam, hijab; Yazua gumzo

    Mtoa Mada mm hata sijaelewa una maana gani aiseeee daaaaah sasa hiyo ni Ijab kweli au kitambaa hata ma sister wanavaaa
Back
Top Bottom