Kuna tofauti kubwa kati ya Sonko na Makonda
Makonda hawezi Onyesha vyeti kwa sababu yeye siyo Mwanasiasa, Mtumishi aombwi vyeti na watu tu alafu na yeye akaonyesha
Mtumishi anaombwa vyeti na boss wake ambaye ni mwajili wake na siyo tu mtu kuandika Facebook au Jamii Forum kuomba vyeti vya mtu...
Wanatakiwa kwenda kwa katibu wa mbunge atawapa ratiba zote za vikao vya naibu spika.
Wao huwa wanafanya kama utoto ndani ya bunge ili waonekane kwenye Tv wametoka tena nje ili wapate sifa za kuwa wameingia na kutoka tena na tena
Wanatakiwa kwenda kwa katibu wa mbunge atawapa ratiba zote za...
Katika watu ambao nimeanza wafahamu hawana hatma ni weee hapo yaani unashindwa kula nyama kwa sababu tu nyumbani wamepika nyama....Lione kwanza hizo hadithi zako kama unaona ni nzuri kamwadithie Kiongozi wako wa Kanisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.