Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Attachments

  • galaksi.jpg
    galaksi.jpg
    46.9 KB · Views: 32
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Kwa hiyo still loading....
 
Kwanza hata uliepost unachapia kutype showing how much hujielewi
 
Nimejaribu simu yake fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada

Nawasiwasi na vitisho vya tcra, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao .

Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiamvia ni fake.
Sidhani kama ni fake ndio maana INAGANYA KAZI
 
muda bado tusubirini usiku wa leo ndo mwisho, mleta mada usisahau kuleta mrejesho kimeo chako kitapopoteza network
 
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Duh nilijua zoezi limefeli
 
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Kaka asante umewajibu.. Ndio hawa wanaambiwa jibu swali moja yeye anajibu yote.
In short waambie kesho watutafute na hizo simu zao
 
Back
Top Bottom