Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Hivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...
Note 4 ina camera nzuri sana kuzidi Iphone
 
Sasa hapa tunaongelea glass au ubora wa kamera..??.
Ata camera bado haifiki ata samsung s3 ya zaman ,nmetumia experia z1 haina camera nzuri n megapixel nyng tu afu usidanganyike kwamba simu ikiwa na megapixel nyng ndo inatoa picha nzuri mkuu...
 
Hayo sijui ma iphone ilikua zamani. Kwa sasa Samsung wameua. Technology inakua sana sasa iphone wakae wasubiri Samsung watoe toleo ndio wao wakatengeneze. Licha ya camera Samsung wameua kwa technology ya wireless charge na edge unaanzia wapi kuiga. Iphone waliona note zinapendwa wakatengeneza iphone 6 plus huku Samsung ameshakimbiza sana
 
Hayo sijui ma iphone ilikua zamani. Kwa sasa Samsung wameua. Technology inakua sana sasa iphone wakae wasubiri Samsung watoe toleo ndio wao wakatengeneze. Licha ya camera Samsung wameua kwa technology ya wireless charge na edge unaanzia wapi kuiga. Iphone waliona note zinapendwa wakatengeneza iphone 6 plus huku Samsung ameshakimbiza sana
We subiri iyo iphone 7 naskia wamerushusu watu watoe maoni ile tundu ya headphone itolewe au la ,so maanake inaeza ikatoka haina iyo sehemu ili kuongeza ukubwa wa betri na iwe waterproof coz ile tundu linazama maji,apo maanake simu itakuwa wireless kila kitu adi earphone hapo utanambia wameiga samsung cyo.... tusubr septemba sio mbal..
 
Ata camera bado haifiki ata samsung s3 ya zaman ,nmetumia experia z1 haina camera nzuri n megapixel nyng tu afu usidanganyike kwamba simu ikiwa na megapixel nyng ndo inatoa picha nzuri mkuu...
Mimi natumia Z2 na camera yake ni bora kabisa...
 
We subiri iyo iphone 7 naskia wamerushusu watu watoe maoni ile tundu ya headphone itolewe au la ,so maanake inaeza ikatoka haina iyo sehemu ili kuongeza ukubwa wa betri na iwe waterproof coz ile tundu linazama maji,apo maanake simu itakuwa wireless kila kitu adi earphone hapo utanambia wameiga samsung cyo.... tusubr septemba sio mbal..
Vitu vya kizamani hivo. Wireless? Tunaongelea wireless za headphones zamani sana. Waterproof hiyo Samsung walitoa miaka 2 iliyopita kuanzia s5
 
Hiv chief kitu kinachofanya simu itoe picha nzur ni software au hardware eb nielekeze apo mkuu
hardware zaidi lakini pia software zina mchango wake. Angalia camera za pro sana ni hardware huwezi kuta software za maana kama umewahi kuwa na dslr utaona software yake inakuwa basics tu.

ila kwa simu software hutumika sana sababu hardware zinakuwa dhaifu, simu nyingi hutoa picha ambazo zinapendeza lakini ni fake, ukiangalia picha na kitu halisi picha inakuwa haina uhalisia. mfano mtu ana chunusi lakini kwenye picha hazitokei au unakuta majani yana kijani hadi yanakuwa njano, rangi zinaiva sana etc

ila wakati wa kuchagua camera nzuri ya simu chagua hardware kwanza sababu software inaweza kuwekwa baadae au ukaeka mwenyewe.
 
Back
Top Bottom