aliesema chuo ni kichwa cha mtu nampa big up mi sishangai hiyo thread coz kuisoma tu nishajua aliepost alipeleka tumbo chuoni na sio kichwa.nimeamini ni rais kumtoa mtu kijijini lakini si rais kufuta ushamba kichwani mwake.kama wewe ni graduat afu hata ujui vitu vya kucorelt basina mengi ila...
jamani hongereni mliofanikiwa kumaliza kusoma hiyo pumba mi nimeishia pale alipodanganya liver wamechua ubingwa mara 19 badala ya 18 afu jamaa tumeshakua tuache kudanganyana kwaiyo man u kuchukua uefa mara 3 nayo web au kocha yyt wa england? Mi kwa maoni yangu ukivimbiwa na makande kashute toi...
jamani mbona mnakua na haraka? Tendwa aliahidi kufuta chama chochote kitakacho anzisha fujo kwenye mikutano yake sasa ebu tuwe na subira aprv kauli yake plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.