WARNING!! Kwa watumiaji wenzangu wa simu ya mkononi! Tar. 09/10/2012:

Salimkikeke@tweter, Isaack Saria na Charles Hilary ktk fb wamekanusha leta ingine mm nasuburi mpaka hiyo saa 6. Kwenda trh 9/10/2012
 
Jamani jamani uongo mwingine duh! labda ungesema miale inatoka space na sio mars
 
Baadae kidogo majira ya saa sita na nusu hadi saa tisa na nusu ya tarehe tajwa hapo juu,Miale ya cosmo itaingia duniani kutoka sayari ya Mars.
Hivyo zima zima yako usiku na weka mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari sana.
Source ni BBC NEWS!
WanaJF! Pamoja sana!
huo udaku tangu miezi miwili iliyopita nishauzoea sasa.
 
Baadae kidogo majira ya saa sita na nusu hadi saa tisa na nusu ya tarehe tajwa hapo juu,Miale ya cosmo itaingia duniani kutoka sayari ya Mars.
Hivyo zima zima yako usiku na weka mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari sana.

Source ni BBC NEWS!

WanaJF! Pamoja sana!

Hizo saa ni kwa Tanzania maana wataalamu hutaja kwenye GMT alafu kila nchi inapiga hesabu zake au hizo saa baada ya kwenda bureau de change na kubadilishwa na kuwa saa za kitanzania
 
Ni kwa mtandao wa hapa kwetu East Africa!

Kuwa mpole na kama utapuuzia wewe kuwa mpole na sikilizia tuu!!


Bado dk 24 kuanzia sasa!

Hizo saa ni kwa Tanzania maana wataalamu hutaja kwenye GMT alafu kila nchi inapiga hesabu zake au hizo saa baada ya kwenda bureau de change na kubadilishwa na kuwa saa za kitanzania
 
Watu bwana, nani kasema MARS ni star na sio planet, planet ambayo aina energy ya thermonuclear inawezaje ku-generate RADIATON!
 
Watu bwana, nani kasema MARS ni star na sio planet, planet ambayo aina energy ya thermonuclear inawezaje ku-generate RADIATON!

you took the words right outta ma tongue. Angesema maybe ni from some far away collapsing star Kidogo ningeamini, ila kusema ni mars kwanza najua you're a fool not to know mars is just a planet much like earth nd can never radiate that energy afu pili najua you're stupid to spread it without knowing wat you're writing
 
you took the words right outta ma tongue. Angesema maybe ni from some far away collapsing star Kidogo ningeamini, ila kusema ni mars kwanza najua you're a fool not to know mars is just a planet much like earth nd can never radiate that energy afu pili najua you're stupid to spread it without knowing wat you're writing

Heshima yako mkuu, tatizo ndilo hilo yaani kuna vitu unaweza kusoma humu mpaka ukabaki midomo wazi, umenifurahisha sana umenikumbusha: White Dwarfs,Neutron Stars na Black Holes. Oh, I wish Carl Sagan were still alive 2-DAY.

Kama unavyo sema mkuu sio vizuri wana JF kuwa chanzo cha ku-scare watu bila sababu za msingi, kama ni mambo ya utani basi angesema kitu kingine lakini sio ili linalo husu afya za watu. MOD gotta do something to arrest these kinds of pranks, the soonest the better.






 
Heshima yako mkuu, tatizo ndilo hilo yaani kuna vitu unaweza kusoma humu mpaka ukabaki midomo wazi, umenifurahisha sana umenikumbusha: White Dwarfs,Neutron Stars na Black Holes. Oh, I wish Carl Sagan were still alive 2-DAY.

Kama unavyo sema mkuu sio vizuri wana JF kuwa chanzo cha ku-scare watu bila sababu za msingi, kama ni mambo ya utani basi angesema kitu kingine lakini sio ili linalo husu afya za watu. MOD gotta do something to arrest these kinds of pranks, the soonest the better.







Not forgetting the Red Giants, i'm always fascinated by astronomy. But so far Neutron stars and Super nova explosions are what interest me more. Unayosema ni kweli mkuu, si vyema kuzusha habari kama hizi ilihali hazina kweli wowote.
 
Watu bana, kila nchi ina masaa yake au huyu mwanasayansi ni Dr. Nchimbi?
 
Back
Top Bottom