Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Umeona ee, tangu awali nimetahadharisha jambo hili kuwa makini kwa sababu ni la kimataifa. Ingekuwa kitaifa ingekuwa vyema kumwandama mama, lakini kwa hali ilivyo kuna umuhimu wa kulifuatilia kidiplomasia ili wazazi na ndugu zake wajue yuko wapi. Suala lilipofikishwa vyombo vya usalama Marekani walijibiwa ni mtu mzima huenda yuko na bf wake, ukisikia hivyo hawa jamaa wanajua yuko wapi na anaishi na nani, ila huwa hawapendi kuingilia private ya mtu aliyekwisha vuka 18. Muhimu kutumia njia za kawaida kumtafuta aliko ili wazazi na ndugu wake wajue alipo ili kupata amani mioyoni mwao.
Wengi sana wanakimbia wakifika US, wengine Canada na nchi nyingine, tuna mifano hata ya wake za watu walikuja huku na wakaingia mitini kimoja... zimebaki story tu.
Sisemi kwamba huyo dada katoroka, hapana, ila there is a possibility.... Hii kitu imetokea years and years
Ndio maana wengine wanaambiwa kabisa, ukipata chance ya kwenda nje, usichukue ndugu... kuna lawama badae
Anyway, i wish they find the lady and she is safe