majina ya bar/pub

majina ya bar/pub

chini ya muti
oi Mkuu Umenikumbusha zamani sana hii Bar Chini ya Muti nilishakula Nyama Choma Bomba sana miaka ya 1994/5 bro wangu ni Guide basi kila akirejea huznguka sana kutafuta marafiki zake siku ikatokea Rafiki zake wapo hapo Chini ya Muti...

Hii sehemu nilikuwa kila nikitoka USA Lazima nilisome hilo Jina la CHINI YA MUTI hivi bado ipo hiyo Bar hadi miaka hii?

Bila Kusahau Barracuda bar hii yule Mwizi maarufu Arusha alikuwa hakosi humo Bob Sambeke....


Pindi hicho kulikuwa na zile bia feki za Safari zikiuzwa humo bila wasiwasi ila si feki kabisa kwani yule mtaalamu wa TBL alikuwa na kiwanda chake binafsi anachanganya ngano kama yupo tbl vile kisha zinauzwa kama safari beer bila mnywaji kujua kitu... japo mwishowe ikagundulika
 
kuna MICHUM PUB, FACEBOOK PUB, UTAM PUB, KOTE KOTE PUB, WA KULIWA PUB, NDONDO PUB, MIKUMI PUB, LA KUCHUMPA PUB...............
 
lete majina ya bar au pub yachekeshayo
njia ya tandale kuna shikamoo bar imepakana na marahaba bar , mburahati kuna simba kapakatwa pub! Lete

ccm pub ipo dom nyuma ya nmb dodoma.pia mkabala na paradise.
 
Back
Top Bottom