Sura za KUFA Mtu

Sura za KUFA Mtu

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
15080_538769789468406_1971605213_n.jpg
 
Huyu sio Wassura alipokuwa kijana kweli!!???
 
Dah huyu jamaa kafanana na kaka angu balaa tofauti bro pua yake kubwa!
 
Mjombaa ake yule kiongozi wetu anayepayuka hovyo!!! Dah inatisha!! Ila sote twasema tu sura na mfano wa mwenyezi Mungu!!
 
Huyu akikaa getini kwenye sherehe yako vinywaji vyote vitabaki.
 
Uyu anafaa kwenda mbuga zetu ikiwemo serengeti majangili akiwemo kinana awatazama msituni kuwaua tembo pia faru wetu
 
...hivi wewe Mbuzi Mzee unataka nikunjinje kabla ya krismasi eeh!?
Nani kakuambia uweke picha yangu humu?
...ngoja utakiona cha moto...ole wako "maduu" waning'ang'anie humu..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom