Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Mtu anayejiita mchungaji hivi karibuni amemtabiria kifo rapper Ney wa Mitego kwa kudai kuwa atafariki kwa kuchomwa na kisu au kupigwa risasi.
Ney amesema mchungaji huyo alimfuata nyumbani kwake na mpaka picha zake anazo.
Nilimrekodi pia, alikuwa anaongea kwa confidence sana, lakini mimi sitishiki na wala siogopi, mimi namtegemea mwenyezi Mungu. Hiki ninachokifanya ni kipaji cha pekee na hawajui kwanini najiamini na siwezi kuacha kukifanya hiki, Ney alikaririwa jana Jumamosi kwenye kipindi cha Tagz Weekly chaDTV.
Ney amesema mtu huyo alimwambia kuwa ameoneshwa na mwenyezi Mungu, kwamba yeye ni nabii na ni lazika amfikishie ujumbe huo.Mwanzo alifika home, aliwakuta wadogo zangu, mimi nikasema amekuja from nowhere siwezi kuongea naye, alianza kuongea na madogo, akawaambia anataka kuonana na Ney mwenyewe, nikawaambia mwambie aondoke.
Nikaona haina haja kwanini nisiongee naye, aliacha namba za simu, dogo akampigia akarudi, kurudi ndio akaongea aliyokuwa anaongea. Watanzania wajue kuwa wameanza kutokea watu ambao wanatabiri kifo changu ila nawaambia mimi najua siku yangu ya kufa labda wao waendelee kufanya harakati zao ili kunifelisha na hawawezi kunifelisha, mwenyezi Mungu ndio anajua mimi nafanya nini na wapi ambapo ntaishia.alisema ney
Ngoja tuone huu utabiri utaishia wapi maana siku hizi watabiri ni wengi, wengine wanaangalia mazingira tu unavyo ishi na watu alaf wanasema wameoteshwa. Mimi sidhani kuwa hule wimbo ndio unaweza kuzaa haya yote.
Ney amesema mchungaji huyo alimfuata nyumbani kwake na mpaka picha zake anazo.
Nilimrekodi pia, alikuwa anaongea kwa confidence sana, lakini mimi sitishiki na wala siogopi, mimi namtegemea mwenyezi Mungu. Hiki ninachokifanya ni kipaji cha pekee na hawajui kwanini najiamini na siwezi kuacha kukifanya hiki, Ney alikaririwa jana Jumamosi kwenye kipindi cha Tagz Weekly chaDTV.
Ney amesema mtu huyo alimwambia kuwa ameoneshwa na mwenyezi Mungu, kwamba yeye ni nabii na ni lazika amfikishie ujumbe huo.Mwanzo alifika home, aliwakuta wadogo zangu, mimi nikasema amekuja from nowhere siwezi kuongea naye, alianza kuongea na madogo, akawaambia anataka kuonana na Ney mwenyewe, nikawaambia mwambie aondoke.
Nikaona haina haja kwanini nisiongee naye, aliacha namba za simu, dogo akampigia akarudi, kurudi ndio akaongea aliyokuwa anaongea. Watanzania wajue kuwa wameanza kutokea watu ambao wanatabiri kifo changu ila nawaambia mimi najua siku yangu ya kufa labda wao waendelee kufanya harakati zao ili kunifelisha na hawawezi kunifelisha, mwenyezi Mungu ndio anajua mimi nafanya nini na wapi ambapo ntaishia.alisema ney
Ngoja tuone huu utabiri utaishia wapi maana siku hizi watabiri ni wengi, wengine wanaangalia mazingira tu unavyo ishi na watu alaf wanasema wameoteshwa. Mimi sidhani kuwa hule wimbo ndio unaweza kuzaa haya yote.