Recent content by Kagwina

  1. Kagwina

    Kuuliza Multiple Choice Question katika University Exams: Tunapima nini?

    maswali ya multiple choice kama hujasoma na kuelewa unafeli yupo mzungu anaitwa dr bruce udsm anajua anachokifanya
  2. Kagwina

    Good news!!!! NGUVU ZA KIUME SIYO TATIZO TENA

    Mzee wa kegel exercise mwaga vitu basi
  3. Kagwina

    Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

    Ukishapata kazi na kumzalisha watoto wawili utaanza kumkimbia maana age difference ndo itakuwa mwake kabsaaa. bora ujikomboe sasa hivi kuliko kuja kuteseka baade kwa kujilaumu kuoa mtu aliyekuzi umri.
  4. Kagwina

    Suala la kufoji vyeti: Rais JK anza na waziri Mulugo!

    uchunguzi wa mwananchi sio sahihi nadhai kuna mtu kamhadithia mwandishi kuna makosa mengi kwenye hiyo taarifa
  5. Kagwina

    Geita: Wassira na Mwema watimuliwa

    Kuanzia leo sitosoma hili gazeti nilikuwa naliamini sana Tanzania Daima lakini kuanzia leo nimepoteza imani kabisa. Hii habari yote ni uongo kwa asilimia mia moja. Nimesikitika sana kwa kweli. Nilikuwapo Geita na Buseresere, kilichoandikwa ni iongo of the highest order. Mwema na Wassira wote...
  6. Kagwina

    WAZIRI NCHIMBI:Damu ya mchungaji ilete Amani

    Nimesikitishwa na upotoshaji mkubwa kuhusu suala la Buseresere, pamoja na kwamba thread ya kusema Waziri Nchimbi alifukuzwa mazikoni imefungwa lakini ni vema nieleze kidogo kwa kuwa itafika mahali tutakuwa hatuamini tena kila kinachoandikwa humu. Waziri Nchimbi hakufukuzwa mazikoni alihutubia...
  7. Kagwina

    Juliana Shonza, Mtela Mwampamba wahamia CCM...

    Hongera Juliana na dogo Mwampamba yaliyowapata ninyi ndio mnajua na uamuzi ni wenu. Mmechagua vema acha wengine wajeruhiwe ndo watajua kama hicho ji chama au saccos ya familia
  8. Kagwina

    Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

    Wateja wa PW wanalalamiiika, wao wenyewe wenye ndege wanajua ndo maana wameshusha bei. Wameshusha ya nn kama hawaogopi? Wamezoea monopoly na kunyanyasa abiria, check in ya domestic flight wanafanya sawa na international flight kisa kwa sababu wako peke yao. Wanafanya fitna na travel agent...
  9. Kagwina

    Watano mbaroni Dar wakihusishwa na mauaji ya RPC Barlow

    Habari nusu nusu, wamekamatwa wapi na saa ngapi?
  10. Kagwina

    Kongamano la Mwl Nyerere Nkrumah Hall: Esther Wasira awagusa wengi!

    Jadilini hoja sio mtu, pia eleweni mada msilete ushabiki wa vyama
  11. Kagwina

    Ripoti ya Mauaji ya Mwangosi yatoboa siri

    Zamani JF ilikuwa ni mahali panapofungua akili, kweli kulikuwa na great thinkers. Unaona watu wanavyojadili jambo kwa weledi katika angle mbalimbali, hakika nilikuwa najifunza mengi. Sasa hivi JF imekuwa ni mahali pa propaganda ambapo watu wanaleya ushabiki wa vyama na kurukia tu hoja. Mtu...
  12. Kagwina

    Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

    Inaonesha mnapendana siku siku nyingi sasa mnatafuta tu sababu ya kuhujumu ndoa zenu. Kama umeamua kusave kwa style hiyo unamtangazia nani humu. Huyo Bidada akisoma hizi story unadhani atafurahi. Halafu kama uligundua umemkumbatia na usiku na ukatambua kuwa haupo nyumbani na huyo uliyemkumbatia...
  13. Kagwina

    Vyeti vya uraia na yaliyonikuta - a true story

    Msilete harakati katika mambo ya msingi ya kitaifa, system ya mabalozi wa CCM ipo tangu enzi za TANU ndiyo maana ni rahisi kuitumia kuliko hizo articial system za mabalozi wa CUF na CDM. Hata kuna kasoro ndogo ndogo katika zoezi hili tunapaswa kuziaddress pale pale sio kuanza kutoa malalamiko na...
  14. Kagwina

    Zitto ni maporomoko ya mto Nile - hayazuiliki kwa kifusi!

    Hizo ndiyo zinakupa upofu wa kutokuona mabaya yake! Huyo Kijana tunamfahamu uzuri! Amechenga katika mengi na kutumia CV yake ya umaarufu mwepesi wa kukataa posho sasa hivi kwa sababu ya rushwa kubwa kubwa. Katika hili haponi, hana "moral authority" tena. Mbona anaweweseka sana na tuhuma. Unataka...
  15. Kagwina

    Mch. Mwasapile vs. Mch. Rwakatale

    Imani haiulizwi maswali, Yesu aliponya watu kumi wenye ukoma kwa kuwaambia waende wakajisafishe na maji ya Mto Yordan, mbona huulizi? Tatizo vizazi vya sasa kila kitu mnataka kutumia sayansi kupima kama Waziri wa Afya! Hata wakati wa Nuhu watu walibisha vivyo hivyo kwa kutoamini kuwa mvua...
Back
Top Bottom