Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Na mleta mada anaongea bila ushahidi wowote, huenda hajui hata ladha ya pipa ikoje. By the way low cost airlines ndio mkombozi wa nchi nyingi za Ulaya, hapa tunaongelea kampuni kama Easy Jet, Ryanair, Cimber Airlines na kadhalika. Humo hata maji hupewi, wanachotoa wao ni usafiri tu.Wabongo kwa majungu, hamtaki walalahoi wapande ndege jamani?