Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Mie sina chama na kwetu hakuna upuuzi huu wa wajumbe wa nyumba kumi kwani hatuamini katika ukomunisti wa chama na serikali ku monitor wananchi kama ng'ombe.
Chama gani tena, kwani mabalozi wote ni wa CCM?
Hivi kwa akili ndogo tu, hii kata yetu ya manzese ina individuals 109,208 (makisio), sasa bila wajumbe hivi huyo mwenyekiti wa mtaa ataweza kuwatambua watu wote hao?
Tumieni akili wakuu, serikali inawategemea wajumbe hao. Hata Bank ukienda kuomba mkopo, itataka upate udhamini kwa serikali ya mtaa na wanaomba hivyo kwa kujua kuwa, ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa tu ndio anaweza kuonesha physical location yako. Sasa je, mwenyekiti wa mtaa pale manzese ambapo nyumba za kupanga ni lukuki anaweza kweli kuwajua wakaazi wote bila msaada wa balozi wa nyumba kumi?
Wewe ndio ng'ombe, kwani ng'ombe ndio hajui mamlaka.
Gombea ujumbe na wewe sio kupiga kelele ukomunisti ukomunisti. Sijui kama umewahi kusoma hata darasa moja