kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Si kweli mi nipo Geita waliongea fresh tu il a mkuu wa mkoa ndiyo alifukuzwa msibani kwa mchungaji aliyechinjwa
CCM ndio mwasisi wa udini chini .Hawakukumbuka kuwa Wakristo wamekuwa wavumulivu miaka yote, wakalianzisha. Sasa wataweza vipi kulizima? Walitumia uislam kama laverage ya kuingia Ikulu. Na ndio itakayokuwa lavarage ya kushuka na kufa moja kwa moja.
Kuanzia leo sitosoma hili gazeti nilikuwa naliamini sana Tanzania Daima lakini kuanzia leo nimepoteza imani kabisa. Hii habari yote ni uongo kwa asilimia mia moja. Nimesikitika sana kwa kweli. Nilikuwapo Geita na Buseresere, kilichoandikwa ni iongo of the highest order. Mwema na Wassira wote hawakuwapo Geita, sababu za helikopta kutua shuleni na baadae kuondoka kwenda kutua Magereza si hizi zilizotajwa hapo. Masharti yote yaliyosemwa ni uongo mtupu. DC hakwenda msibani na wala hakupata shida yoyote. DC alikwenda msibani na Waziri Nchimbi na aliyeongea pale alikuwa ni RC Magalula na Nchimbi. Alitoa pole na kuwakumbusha wananchi wajibu wa kuepuka vurugu. Kwenye mazishi makaburini hakuna kiongozi yeyote wa Serikali aliyekuwapo. Vyombo vya habari vinashabikia vurugu kwa kuandika uongo. Tuwe makini jamani hii chuki inayopandikizwa madhara yake yatatukumba sote hakuna atayepona. Poleni Watanzania wenzangu.
|
| Wassira, Mwema watimuliwa Mauaji ya mchungaji Geita na Josephat Isango |
Sio kosa lao ni kosa la kuchapika hadi akili zinayumba KUNAKOSABABISHWA NA JANGA KUU CCM,hata wakristo kwa asilimia kubwa wameathirika na gonjwa hili hatari.USIOMBE KUPATA VIRUS VYA GONJWA HILI KWANI NI HATARI KULIKO UNAVYOFIKIRI.~KOSA KUU HAPO NI KUUA,jiulize kama ni jambo geni masikioni mwako???Kila siku unasikia watoto wachanga wanaokotwa,unujua ni wangapi wanaoliwa na mbwa??Kila siku vibaka wanachomwa kwa ushirikiano wa watu wa imani hizi mbili tunazotaka kuzigombania??KWA NINI YOTE HAYA?ANS IS ccmonia,ni virus hatari vyenye kuambukiza magonjwa elfulela ulela.UJUMBE WANGU KWA WATU WA MATHEHEBU YOTE"PAMBANA NA CCM KULIKO UNAVYOPAMBANA NA MALARIA KWANI WAYO NDIO CHANZO CHA MADHILA YOTE YALIYOTUSIBU,YANAYOTUSIBU NA WAMESHATUTENGENEZA MENGI YATAKAYOTUSIBU TUSIPOKUWA MAKINI TUTAANGAMIA.Lakin Waislam Mbona mnakuwa na mambo ya ajabu kiasi hiki?kwa nini hamuogopi hata nafsi zenu?mmepata faida gan kumuua mchungaji na Hisia zenu za kipuuzi?nyinyi mnaweza kumpigania mungu kweli?ila tambuen moto mkishauwasha msiokuwa na kazi nao kuuzima mtajuta wacha tuone ila mwenyezi mungu yupo na marehem huyu mliyemuua kinyama na Damu Yake itawaumbua,sina uhakika Kama mtume wenu anafundisha haya mambo yenu mnayoyafanya sasa ila muda utasema
Wange popolewa kidogo akili zao zingefunguka.