Ungejua vyeti vya hao walimu wala usinge hoji kugoma kwao.unakumbuka wale walimu wa voda fasta?? Unategemea agome alafu aje aambiwe rudi kwa kuwasilisha vyeti vyako,bado kuna wale waliofoji vyeti kuanzia primary mpaka jina.wapotezee hao wameridhika na wanachopata.
sugu moto chini bwana! anawakimbiza watoto wa mama kama mwana fa.anamtazamo wa mbali sugu,sugu upeo wake mkubwa jamani,sugu waziri wa mabongo fleva sasa pumba kama fa hawezi elewa sugu anapotetea maslahi ya wasanii kama yeye,kumiliki baby walker basi anaona ametokaa sana .mwana fa hanatofauti na...
Majizi tu hayo yanazani yataishi milele kwenye hayo ma palace,angekua wa maana angejenga huko kwao umakondeni,kawadharau wamakonde akaona mjengo kama huo haustahili kua kule.
Wekeni picha jamani,mbona haina gharama yoyote mnashindwa kutupa full events,jitahidini wapambanaji kutupa news zilizo kamilika,sio mpaka mtu uwe na kamera hata simu inatosha.asanteni kwa kutupa habari za ukombozi wa tanganyika,
Makamanda wa nzega mmetunyima raha,mnge atach na picha jamani ingekua poa sana,anyway tunashukuru kwa hizo habari,ila next time picha ingeleta raha zaidi.
Wangefanya na tathmini walipata ushindi wa kishindo kwa kiasi gani.kweli sisiemu na umasikini ni sawa na pua na makamasi.huko wamelemewa kwa umasikini wa fikira mpaka kiuchumi.
hii serekali ya sisiemu kweli ni uoza mtupu,jana kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku walionyesha tena ujuzi wao wa kuwadanganya wapiga kura wao wakulima ni kwa namna gani ni ma mbumbumbu,wamewaletea power tiller feki zenye jina khubota badala ya kubota.serekali ilishasema hakuna bidhaa...
unanitia machungu,serekali haina kiwanda hatakimoja,! aibu tupu.wameuza vyote na vingine wameshiriki kuviua.kiongozi wa nchi anasema hajui umasikini wa nchi yake hajui unatokana na nini,je atajua vipi namna ya kumaliza hilo tatizo?na msaidizi wake nae kaja na kauli hiyohiyo kua hajui umasikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.