Na wewe acha kuuliza wakati majibu unayajua kwa 100%
Angalia mtu anachubua sura yake
unategemea nini?
Kuchubua sura kwa mwanaume ni kutaka kufanywa mwanamke
Na wewe acha kuuliza wakati majibu unayajua kwa 100%
Angalia mtu anachubua sura yake
unategemea nini?
hata kama kusoma hujui basi picha ya mgombea unaijua.Weka ushahidi wa hizo dhuluma.
<br />Msanii Mwanafalsafa naye ameungana na Ruge kumchana mbunge Sugu. Huyu mbunge sasa kila mtu anamwona hamna kitu, hivi ataishije kama kila mtu anamwona ''wa hivi hivi.'' source: Clouds Fm
wewe ni mgonjwa wa kufikiriKwani ugomvi wa JF na Clouds source yake nini? Ninyi si mnataka tuwe tunaambiana ukweli? Mezeni huu ukweli si wote wataiunga mkono CDM hata kama mtatumia mitandao yote duniani kuwatukana.
itabidi jioni nipitie dispensari haya maneno yanaumiza sanaSuala la sugu na ruge limeshakuwa namba tasa nadhani linahitaji ufananuzi na suluhisho la dhati tena la pamoja mezani toka pande zote tatu zinazohusika kuliko unafki nafki na ushabiki usio na tija,hivi wangapi wanaojua ukweli ni upi? Mi naona wengi wanadakia dakia tu na kulijadili kama wanavyojadili ahadi za ngono na wapenzi wao!
Ni mwanafalsafa wa nini??Msanii Mwanafalsafa naye ameungana na Ruge kumchana mbunge Sugu. Huyu mbunge sasa kila mtu anamwona hamna kitu, hivi ataishije kama kila mtu anamwona ''wa hivi hivi.'' source: Clouds Fm
Simply SUGU HAJUI ANACHOKIFANYA .....
jamani eeh sugu ni waziri kivuli.sugu ni sugu hawezi kuttetewa na watoto wa mama.
wanamwita suguuu,
wanamwita suguuu,sugu,sugu,suguuuu!
wote hao walivalishwa tishet na buku tano wakati wa kampeni leo unategemea waseme nini?
tumemwamini na tutaendelea kumwamini na rais wenu anamwamini ndio maana hajaongea kitu kuhusu shutuma za sugu.