chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Akiwa anajibu maswali Bungeni W/Mkuu amepinga kuwa mikoa ya Lindi na Mtwara si masikini kama wengi wajuavyo bali kwa Takwimu zilizopo mikoa masikini kabisa ni
1.Singda
2.Dodoma
3.Kagera
1.Singda
2.Dodoma
3.Kagera
- Kilichonishangaza hizi takwimu ni harari?
- za mwaka gani?
- Je hata Mikoa ya Zenji ni tajiri kuzidi dodoma?
- na kwa mkoa kama Dodoma ambao ni makao makuu ya serikari na ccm inamaanisha nini?
- Kwenye uchaguzi kwa nini wanachagua ccm?