Mbunge wa Chadema Kaishia Darasa la Saba-CV Hii hapa

naona huna takwimu za kutotasha bill gate alizaliwa mwaka 1955 alianza kufanya programming akiwa na umri wa miaka 9 , akiwa na umri wa miaka 20 (mwaka 1975) aliacha shule kabla ya graduation na kuunda kampuni ya software na rafiki yake alen.
mwambie hivi akijua hili wengine wanajua lililobakia.no resurch no right to speak.
 
Mwanzishaji wa Thread, Je umepata kumsikiliza Mhe. Freeman Mbowe akizungumza Bungeni au katika jukwaa la siasa? Ni nani ktk kundi la Wabunge wa CCM, (chama chako?) anaweza kujilinganisha naye?

Umepata kumsikiliza Mbunge huyu wa Maswa na kumlinganisha na Livingstone Lusinde wa CCM (?chama chako?) Mtera constituency?

Kama umesoma historia ya dunia, utakumbuka kuwa viongozi wengi waliotukuka ni wale waliojituma na kujiendeleza wenyewe. WanaJF hapo juu wamekwisha taja Ronald Reagan wa USA, Winston Churchill wa Uingereza wakati wa Vita Kuu ya Pili, Zuma Rais wa Africa Kusini sasa.

Sio shahada za juu za vyuo vikuu zinazofanya viongozi kufaulu ktk kazi zao za huduma kwa umma. Sijui wewe umefikia kiwango gani ktk elimu yako. Lakini fahamu kuwa hiyo elimu pekee haikufikishi mbali. Jifunze pia kutoka viongozi waliotukuka ambao kielimu hawakufika juu. Utakumbuka ushauri wangu.
 
Kwani kuishia la 7 kuna tatizo?????Jiulize kwa nini wananchi walimuamini na kumpa ridhaa ya kuwawakilisha na kuwaacha wenye degree(s) zao!
 
Me nazan elimu sio kikwazo kikubwa ktk uwongoz wa nchi, lakin kiukweli viongoz wengi wa kiAfrika Wanapokuwa hawajapata huwa na ahadi zenye tija kwa wananchi but soon wanapokuwa madarakan hawana jipya. Kiukweli CCM ni lzm walaumiwe kwa7bu tayar maovu yao yameshajionesha tokea uhuru lakin hata chama chengine kitakapoingia madarakan utekelezaji wao huwa mfupi. Ni mawazo tu
 
Kiukwel mtu lake halimtapishi. CCM wataendelea kukisifia chama na viongoz wao hata kama wana makosa na hata CHADEMA itakuwa ivo ivo. Kwa kiasi kikubwa viongoz wenye elimu wamekosa utekelezaj na busara na wapo viongoz wenye viwango vidogo vya taaluma lakin busara na njia za kuwaongoza wananch wao wanazifuata. Kwa kias kikubwa viongoz wenye taaluma huitumia taaluma yao kukandamiza na kuyafinya maslah ya wananchi kwa kuzan elimu zao ndo kila kitu. Hatuwez kupima ubora wa kiungoz kwa taaluma bali tutaupima kwa utekelezaj wa yale aliyo yaahidi kwa anao waongoza
 
FACT: Darasa la Saba ni kiwango cha elimu, tena kilichopangwa vizuri sana.
FACT: Sifa ya kugombea ubunge ni kujua kusoma na kuandika. Hakuna mahali paliposema kuwa ili uwe mbunge unatakiwa kuwa na digrii.
FACT: watanzania tumekuwa na kasumba kubwa sana kutamba na vyeti vya digrii, na sasa in actual fact, elimu ambayo tumeipata na hizo digrii zetu ni elimu ambayo ni employment oriented education. Matokeo yake ni kuwa, huku mtaani tunapowapata vijana "wasomi", kufanya kazi performance yao imekuwa ya kutia mashaka makubwa mpaka tunajiuliza, "kweli hawa ndiyo wasomi wetu?"

Kama Mbunge wetu anayo elimu ya darasa la saba, je inamtosha kufanya shughuli zake za kibunge bila pingamizi? Kama inamtosha, that is the best for him. Nina hakika wewe uliyeanzisha thread hii ukipambanishwa na mbunge huyu STD anakutoa knock out. Don't judge the book by its cover, and empty vessels make most sound.

Ni ushauri wa bure, tuwe na focus ya mbali zaidi kuliko kufikiria tu kuwa kwa kuwa tuna digrii tuna ubora zaidi ya watu wasiokuwa na digrii. A person grows both vertically and horizontally.
 
Angalau anayo cheti ya ualimu, tunataka sheria iwe elimu ya chuo kikuu maana =maghalasa kama haya ndiyo yamejaa CCM yanatuharibia Bunge
 
Jaman Chadema hawa ndio mnategemea kuwapa uwaziri mkishika nchi kweli Chadema Hakuna Kitu acheni kuwadanganya Watanzani Darasa la Saba , Bosi wenu Mbowe Form six hata katiba ya nchi hairuhusu Kushika Nchi Mtu asiyekuwa graduate hivi Mngewekewa Pingamizi angeshinda mngesema Fitina ya CCM Kumbe Shule hakuna, Dr Slaa naye anabeba wake za Watu hata Ikulu hajaingia atatuchukulia Madem zetu tu na atakuwa anatumia Kodi za Watanzania kuwahonga Magari Wanawake zetu, Kweli ndio maana mnaambiwa Chadema ni chama cha wanaharakati , chama cha Ukanda ....
Kwa maadili ya Watanzania Dr hafai kushika nchi hebu tuwe wakwel tuache ushabiki hivi mtu akikuchukulia Mkeo utajisikiaje?
Hapa ndipo ulipokosea.. Swali la msingi ni Elimu wewe unaingiza mademu. Mchango wako huu unatakiwa upelekwe kwenye jukwaa la MMU
 
darasa la saba moja ya chadema ni sawa ni phd kumi za ccm,hv watanzania mbona mnakuwa wajinga na wanafiki kiasi hicho,ccm ina wabunge wa la saba wangapi? mbunge wa rorya,steven ngonyani wa korogwe vijijini na wengine wengi mbona hamuwasemi? acheni unafiki nyie
 
Kama ni mtendaji mzuri,hakuna shida....watu wanasoma lakini Elimu haiwakomboi wanapiga meza tu kule bungeni hata kama hoja mbovu,kisa wengi wako upande wao.
 
Member of Parliament CV

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1743.jpg
First Name: Sylvester
Middle Name:Mhoja
Last Name:Kasulumbayi
Member Type:Constituency Member
Constituent:Maswa Mashariki
Political Party:CHADEMA
Office Location:Box 170, Ipililo Maswa, Shinyanga
Office Phone: +255 787 458107/+255 716 343727/+255 667 343727
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: skasulumbayi@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 January 1950

EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Bugisi Primary SchoolPrimary Education--PRIMARY
Monduli Teachers' Training CollegeTeaching College19721973CERTIFICATE
Murutunguru CollegeCourse19781979CERTIFICATE

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Maswa East Constituency20102015
Maswa District Executive Director OfficeTeacher19732000
ivi wewe unasoma darasa la ngapi?? academic level ya lipumba na kikwete ni sawa?? elimu haiusiani sana na uongoz mkuu ,uongezi ni kipaj toka kwa mungu(ref latters za st paul) unaweza ukawa na Phd ila ukashindwa ongoza!! mi nadhan ungefikiria kwanza kabla ya kuleta hii thread,kwanza imekaa kishabiki mno!! nawas was sana na uwezo wako wa kufikiria,hufai kuwa GT..afu kingine mbona wew umezid darasa la saba(japo sina hakika) lakin hujawa hata baloz wa nyumba kumi kumi!!! FIKIRIA KABLA YA KUROPOKA....
 
FACT: Darasa la Saba ni kiwango cha elimu, tena kilichopangwa vizuri sana.
FACT: Sifa ya kugombea ubunge ni kujua kusoma na kuandika. Hakuna mahali paliposema kuwa ili uwe mbunge unatakiwa kuwa na digrii.
FACT: watanzania tumekuwa na kasumba kubwa sana kutamba na vyeti vya digrii, na sasa in actual fact, elimu ambayo tumeipata na hizo digrii zetu ni elimu ambayo ni employment oriented education. Matokeo yake ni kuwa, huku mtaani tunapowapata vijana "wasomi", kufanya kazi performance yao imekuwa ya kutia mashaka makubwa mpaka tunajiuliza, "kweli hawa ndiyo wasomi wetu?"

Kama Mbunge wetu anayo elimu ya darasa la saba, je inamtosha kufanya shughuli zake za kibunge bila pingamizi? Kama inamtosha, that is the best for him. Nina hakika wewe uliyeanzisha thread hii ukipambanishwa na mbunge huyu STD anakutoa knock out. Don't judge the book by its cover, and empty vessels make most sound.

Ni ushauri wa bure, tuwe na focus ya mbali zaidi kuliko kufikiria tu kuwa kwa kuwa tuna digrii tuna ubora zaidi ya watu wasiokuwa na digrii. A person grows both vertically and horizontally.
VRY GUD!! huyu jamaa anaonekana ni mtu wa Chama Cha Mafisadi hawa ndo shida yao..ni kuwaelewesha tarabu tu wataelewa....
 
Back
Top Bottom