mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
asife kwani yeye ni nani, kaburi la nini kwa fisadi kama yule
Msidanganywe! Huyo alishafariki.
...sitaki kuamini kama taifa kubwa duniani kama Amerika(USA) linaweza kuwa sehem ya mchezo huu mchafu unaofanywa na viongozi wa serikali ya Tanzania.Kinachonifanya nianze-kupoteza imani na USA ni njisi-ilivyo kaa kimya pamoja na mambo yote haya ya kifo cha Balali kuhushwa na taifa ili linalosifika kwa maendeleo makubwa ya teknojia.Hivi ni kweli Amerika hamna mnachofaham juu ya uzima,ugonjwa au kifo cha Balali?...FBI mko wapi?,CIA mko wapi?...siku "UKWELI" ukidhihili, kama haya tunayoambiwa Watanyika(Watanzania bara) na viogozi wetu ya yatakuwa ni ya kweli kwamba Balali alifia hapo USA na nyinyi mmethibitisha hivyo,nawataka radhi kwa kuwausisha na mambo yasiyoafa.LAKINI kama haya mambo ya Balali(eti alikufa) yatakuwa ni-yauongo na nyiyi USA mnajua hivyo na mnashirikiana na hao viogozi wetu kutudanganya...mtapima wenyewe kama kweli bado mnahadhi ya kutambulika kama taifa kubwa na lilostaarabika...
Mkuu naomba unisaidie uhusiano wa kifo cha Prof.Juan Mwaikusa na Balali.
Wanasemaga alimuonaga huko maulayaga wakaogopaga atalisanuaga, wakammalizaga.Mkuu naomba unisaidie uhusiano wa kifo cha Prof.Juan Mwaikusa na Balali.