Humwelewi nn,amepewa mashart amekubali...ngoja afunge ndoa kabisa coz nae anajua huyo Dada ni Virgin sasa kazi siku ya ndoa anakuta kitu kinapita bila chenga...atavunja ndoa ooh,haya mambo ya miaka hiyoooo 1940s ,au unampa muda mzuri wa kujiselfisha nje ya huyo Dada...
Ngoja nimwambie huyo...
Kigogo...Mbukwenyi..asubhi
.....Swelowenyu..jioni
...Mihanyenyi....mchana
Karibuni tujifunze kigogo jamni makao makuu hapo..usije pata shida ya kuomba malenga
Da jamni Masai kaomba ushauri sasa naona maneno tu..ya kumkatisha tamaa,
Kwa ushauri wangu..kaa nae utaijua tu tabia yake
...achana na sababu ndogo Kama hizo...potezea kama unampenda kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.