Recent content by igose

  1. I

    Gari gani nzuri Dar-Mbeya

    Unasafiri lini,karibu mbeya..nicheki pasaka hii nitakuwa green city,na usafiri ni Dar lux na new force,colors star
  2. I

    Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

    Humwelewi nn,amepewa mashart amekubali...ngoja afunge ndoa kabisa coz nae anajua huyo Dada ni Virgin sasa kazi siku ya ndoa anakuta kitu kinapita bila chenga...atavunja ndoa ooh,haya mambo ya miaka hiyoooo 1940s ,au unampa muda mzuri wa kujiselfisha nje ya huyo Dada... Ngoja nimwambie huyo...
  3. I

    Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

    Mmh mbona matusi mmeanza tena
  4. I

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Usije ukawa unatabiri ukweli
  5. I

    Madiwani na Mbunge waliotajwa na PolePole kutaka kujiunga CCM.

    Njaa na vyeo vinawatesa watu jamni ...njaa mbaya sana
  6. I

    Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

    Hapo sasa naamini nimepata mke mwema njoo ni Pm tuongee mengine yamziki hayo yanaisha baada ya kukaa ndani.. Kama upo serous lakini.. Nitafute
  7. I

    Salimia kwa lugha unayoijua!

    Kigogo...Mbukwenyi..asubhi .....Swelowenyu..jioni ...Mihanyenyi....mchana Karibuni tujifunze kigogo jamni makao makuu hapo..usije pata shida ya kuomba malenga
  8. I

    Kwa Ramani ya Gambia ilivyo ECOWAS wataipiga ndani ya one week!!

    Bdo dk kadhaa tu wakinukishe hii desturi ya Ma Rais wetu wa Afrika ya kupenda utukufu acha wamtoe tu kijeshi..
  9. I

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    2017 ndio mwaka mgumu kuliko mwaka uliopita wa 2016.ndio maana mm mshindi.
  10. I

    Huyu mchumba vipi?

    Da jamni Masai kaomba ushauri sasa naona maneno tu..ya kumkatisha tamaa, Kwa ushauri wangu..kaa nae utaijua tu tabia yake ...achana na sababu ndogo Kama hizo...potezea kama unampenda kweli
Back
Top Bottom