Salimia kwa lugha unayoijua!

Kigogo...Mbukwenyi..asubhi
.....Swelowenyu..jioni
...Mihanyenyi....mchana
Karibuni tujifunze kigogo jamni makao makuu hapo..usije pata shida ya kuomba malenga
 
Saitaa - kiiraqwi

Zaazidi - kikommoro

Bonjour - kifaransa

Namnani - kipare

Narendu - kimeru

Bangusilo :D hiyo sio salam lugha ya kizaramo means Kafala:rolleyes:
 
Saitaa - kiiraqwi

Zaazidi - kikommoro

Bonjour - kifaransa

Namnani - kipare

Narendu - kimeru

Bangusilo :D hiyo sio salam lugha ya kizaramo means Kafala:rolleyes:
Saitaa= saayuu,

Naarendu = naare nsuri akwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom